OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,933
- 25,245
Kweli mademu hamna shukurani. Yaani pakti moja imeisha ila unaona haitoshi?





sasa dada mkubwa naona mnagawa uroda tuKweli mademu hamna shukurani. Yaani pakti moja imeisha ila unaona haitoshi?





sasa dada mkubwa naona mnagawa uroda tuBellerin huyuBellerin anapaswa kumsimamisha Grealish if we have to win this



Mnagawa uroda kama hamna akili vileWalichokifanya kwamba hakuna cleensheet ila atapigwa tu




Hapana kumbuka vzr, huyo kocha ndio kaipandisha timu hiyo daraja.Aliichukua katikati, baadae akaondoa takataka kama samatta, akasajili wachezaji wake
HAPANA, DS NDIO ALIANZA NAYO PL..NA NDIE ALIYEMNUNUA SAMATA NA NDIE ALIYEMUUZA.Aliichukua katikati, baadae akaondoa takataka kama samatta, akasajili wachezaji wake
Sisi tulipomtimua Lampard mlitucheka na wengine wenu mkasema apewe muda kwa kejeli. Vumilia tu Arteta apewe muda aijenge timu ya ushindaniArsenal kwa sasa itoshe kusema inatosha ,tunaishi kwa historia na kujiita Big 6 ila kiukweli hatuna utofauti na Southampton au Leeds United, hata hilo jina la Big 6 alitakiwa Leicester achukue nafasi yetu Trust me Arsenal ni historia imekuwa hata uefa atoe top 8 ya kufuzu Champions league basi hatutaipata hyo nafasi hii ndio Comment yangu ya mwisho ninapumzika kwenye hili jukwaa kwa muda usiojulikana
Tatizo la Arsenal ni kocha au wachezaji wake mpaka sasa hata humu hakuna anayejua tatizo ni nini na kwangu binafsi Arsenal sio timu kubwa au Big 6 ni kujidangaya kwa upumbavu wa kisenge
Nawaachia timu mashabiki wa Arsenal die hard fan ambao ukweli mnaujua ila kukubaliana na hali halisi hamuwezi
Na ile ya Xhaka kwa Greelish unaionaje?? Ni sawa tu.Another big refereeing decision goes against Arsenal - Konsa was the last man, surely?
Harufu ya goli utanusa wewe!Naanza kunusa harufu ya goli. Smith Rowe hapana, we have seen enough of him
Huu ni mwaka wake wa tatu akiifundisha Aston VillaHapana kumbuka vzr, huyo kocha ndio kaipandisha timu hiyo daraja.
Naona jamaa anajitoa ufahamuUsisahau kuielezea na ile kadi ya kovacic kwenye fa
Kwa comment yako imebidi nijibu,kweli kabisa Arsenal haijitambui na haijui itakacho that's the truth, Arteta katupa makombe 2 yes that's fine ila tangia aifundishe Arsenal kuanzia January 2020 hadi sasa February 2021,nafasi yake ya juu kwa Arsenal ni ya 8Sisi tulipomtimua Lampard mlitucheka na wengine wenu mkasema apewe muda kwa kejeli. Vumilia tu Arteta apewe muda aijenge timu ya ushindani





kama viongozi hawana vision ,mimi kama shabiki kwa nini nipoteze hela zangu kibanda umiza kuangalia mechi za Arsenal?









Ahh, mkuu eee sio poa bhana.Arsenal kwa sasa itoshe kusema inatosha ,tunaishi kwa historia na kujiita Big 6 ila kiukweli hatuna utofauti na Southampton au Leeds United, hata hilo jina la Big 6 alitakiwa Leicester achukue nafasi yetu Trust me Arsenal ni historia imekuwa hata uefa atoe top 8 ya kufuzu Champions league basi hatutaipata hyo nafasi hii ndio Comment yangu ya mwisho ninapumzika kwenye hili jukwaa kwa muda usiojulikana
Tatizo la Arsenal ni kocha au wachezaji wake mpaka sasa hata humu hakuna anayejua tatizo ni nini na kwangu binafsi Arsenal sio timu kubwa au Big 6 ni kujidangaya kwa upumbavu wa kisenge
Nawaachia timu mashabiki wa Arsenal die hard fan ambao ukweli mnaujua ila kukubaliana na hali halisi hamuwezi
Ukweli siku zote uponya ongera kwa kuongea ya moyoniArsenal kwa sasa itoshe kusema inatosha ,tunaishi kwa historia na kujiita Big 6 ila kiukweli hatuna utofauti na Southampton au Leeds United, hata hilo jina la Big 6 alitakiwa Leicester achukue nafasi yetu Trust me Arsenal ni historia imekuwa hata uefa atoe top 8 ya kufuzu Champions league basi hatutaipata hyo nafasi hii ndio Comment yangu ya mwisho ninapumzika kwenye hili jukwaa kwa muda usiojulikana
Tatizo la Arsenal ni kocha au wachezaji wake mpaka sasa hata humu hakuna anayejua tatizo ni nini na kwangu binafsi Arsenal sio timu kubwa au Big 6 ni kujidangaya kwa upumbavu wa kisenge
Nawaachia timu mashabiki wa Arsenal die hard fan ambao ukweli mnaujua ila kukubaliana na hali halisi hamuwezi
Mkuu uliniomba tuwe pamoja mpaka mwisho wa show, umeiona show?Nakuunga mkono, hakuna kitu mle, angalia mfano Willian yeye pupupupu, kiukweli arsenal ni timu moja ya kipumbavu. Ona sasa imegawa point Sita kwa Aston villa