Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,384
It is time ESR is rested for odegaard
Usisahau kuielezea na ile kadi ya kovacic kwenye faGame iliyopita tunapoteza kwa wolves huku wote tukiona jinsi tulivyokua hovyo, ngumu kucreate chances na ngumu kuconvert.
Juzi kabla ya red game nzima ilitawaliwa na Arsenal na kila mtu alijua matokeo ni Arsenal kushinda. We had a solid performance.
Hatujafungwa kwaajili ya silly reasons kama mechi iliyopita ila tumefungwa kutokana na uonevu na maamuzi ya hovyo ya Craig Pawson. Tunacheza na chelsea jorginho ana yellow, anamkanyaga mchezaji wa Arsenal ila hagewi yellow nyingine.
Na refa ni nani? Otea.




Nyani haoni kundule mkuu😂Usisahau kuielezea na ile kadi ya kovacic kwenye fa
🤣🤣🤣wacheze vizuri aisee watufikirie tuliowabetia
bora na ww unajua nn mnafanyaArsenal kwa sasa itoshe kusema inatosha ,tunaishi kwa historia na kujiita Big 6 ila kiukweli hatuna utofauti na Southampton au Leeds United, hata hilo jina la Big 6 alitakiwa Leicester achukue nafasi yetu Trust me Arsenal ni historia imekuwa hata uefa atoe top 8 ya kufuzu Champions league basi hatutaipata hyo nafasi




DullyJr njoo ona uku ukwely umesemwaMkuu umeongea kwa hisia sana. Ebu punguza volume kidogoArsenal kwa sasa itoshe kusema inatosha ,tunaishi kwa historia na kujiita Big 6 ila kiukweli hatuna utofauti na Southampton au Leeds United, hata hilo jina la Big 6 alitakiwa Leicester achukue nafasi yetu Trust me Arsenal ni historia imekuwa hata uefa atoe top 8 ya kufuzu Champions league basi hatutaipata hyo nafasi hii ndio Comment yangu ya mwisho ninapumzika kwenye hili jukwaa kwa muda usiojulikana