Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal kwa sasa itoshe kusema inatosha ,tunaishi kwa historia na kujiita Big 6 ila kiukweli hatuna utofauti na Southampton au Leeds United, hata hilo jina la Big 6 alitakiwa Leicester achukue nafasi yetu Trust me Arsenal ni historia imekuwa hata uefa atoe top 8 ya kufuzu Champions league basi hatutaipata hyo nafasi hii ndio Comment yangu ya mwisho ninapumzika kwenye hili jukwaa kwa muda usiojulikana

Nakuunga mkono, hakuna kitu mle, angalia mfano Willian yeye pupupupu, kiukweli arsenal ni timu moja ya kipumbavu. Ona sasa imegawa point Sita kwa Aston villa
 
Nakuunga mkono, hakuna kitu mle, angalia mfano Willian yeye pupupupu, kiukweli arsenal ni timu moja ya kipumbavu. Ona sasa imegawa point Sita kwa Aston villa
Hii mechi mmejitahid si mmeona mlivyopunguza idad ya magoli tofaut na mech ya kwanza.
 
ARV nimekutukana bure Arsenal ni mbwa
TENA MWENYE KICHAA
Screenshot_20210206-172637_All%20Goals.jpg
 
Kuna watu ukiandika hivi wale wanajiita die hard fan wanasema mpira ni entertainment tu ,unapotezaje muda kwenda kibanda umiza unaangalia mpira kumamamae si muda unapotea?bora tuwaachie timu die hard fans ila mjue kuna vipigo katika next 3 matches(vs Leeds City na Leicester)kwa herini bye bye
 
Nimepita niwape pole tu watani. Msijali hata walio chini kwenye msimamo nao ni timu. Mjipange tu!
 
Nilisema mwanzoni kwamba dean smith ana vitu vingi anamzidi Arteta, unashangaa timu kubwa inangangania cheap coaches
Mabosi wa AV kumwamini nayo ilikuwa jambo jema. Kumbuka msimu uliopita walipenya kwenye tundu la sindano!
 
Back
Top Bottom