batmanwafez
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 882
- 1,361
Leo namuonea huruma sana Aston Villa, magoli yakipungua sana ni manne!
Malalamiko fc.Red ya Luiz iliinfluence matokeo ya mechi nzima kabla ya red game ilitawaliwa na Arsenal.
Red ya Bednarek haikua muamuzi wa matokeo ya ile game as United ilishaonyesha kudominate game.
Ikitokea hiyo red ikafutwa hiyo itamaanisha game nzima Arsenal walionewa so ili isionekane wameonewa inabidi hiyo red isifutwe.
Angalia hili takataka sasa unataka kusema hizo bao tatu haziwezi kurudi?Plastiki la cheltako linaniquote limevimbisha mdomo na hapo lina mimba ya Arsenal ya bao tatu.
Jikaze utajifungua hivi karibuni tu.
Hahaha una Villa ..jiandae kukalia tenaKwa leo niseme 'yaliyopita yabaki huko, tuangalie mbele'. Kesho tujitahidi kumpiga Villa.
COYG



Mgekuwa wanawake ollachuga na kitoabu, mngekuwa kama ngoma ya kijiji, kila mtu anajipigia kwa wakati wake, mnavyopenda kuzurura kwenye majukwaa ya wanaume
Hahaha una Villa ..jiandae kukalia tena![]()
Leo ndio utajua ujuiHiyo game wameshafungwa kabla haijachezwa, haina hata haja ya kubana pumbu.
Asaniali leo anafungwa.
Narudia tena "Asaniali leo anafungwa" yani hata nyumba ya urithi naweka bondi.
Pole haiuzwi, nitawaletea.
Kitoabu umenichekeshaKama hivyo basi mungu ashukuruwe.
Unataka uniambie mida hii ningekua nakata vitunguu na kijola changu, sio?
Mungu anakuona
Arsenal's atafungwa kama atapata red card 2 kama Tuesday otherwise Aston villa ajiandae kutatuliwa mark my words saa 11 uje na maneno mengineHiyo game wameshafungwa kabla haijachezwa, haina hata haja ya kubana pumbu.
Asaniali leo anafungwa.
Narudia tena "Asaniali leo anafungwa" yani hata nyumba ya urithi naweka bondi.
Pole haiuzwi, nitawaletea.
We have these fools officiating our match today:Arsenal's atafungwa kama atapata red card 2 kama Tuesday otherwise Aston villa ajiandae kutatuliwa mark my words saa 11 uje na maneno mengine
Sian Massey-Ellis imeisha hiyo. For the first time Arsenal inasimamiwa na wawili katika VAR.We have these fools officiating our match today:
- Referee: Chris Kavanagh
- Line 1: Daniel Cook
- Line 2: Constantine Hatzidakis
- Fourth official: Darren England
- VAR: David Coote
- Assistant VAR: Sian Massey-Ellis
SafiArsenal XI: Ryan, Bellerin, Holding, Gabriel, Cedric, Thomas, Xhaka, Saka, Smith-Rowe, Pepe, Lacazette.
Substitutes: Ceballos, Odegaard, Willian, Runarsson, Aubameyang, Chambers, Pablo Mari, Elneny, Martinelli.