Mpira kweli tumeuona mkuu...😂Tulia ufundishwe mpira. Hao jamaa tulikua na red na tukiwa hovyo hovyo lakini tulitoka nao suluhu.
We na we unaandika kama umepakwa maziwa mkononi.
Bayern inakopa wachezaji mno. Inachukua treble msimu uliopita zaidi ya wachezaji 4 wa first 11 ni mkopo.
Msimu umeisha, amekopa tena wachezaji zaidi ya 3 wale wa kwanza kawarudisha. Miongoni mwa waliokopwa msimu huu ni Douglas Costa, kwa timu yenu mna mchezaji RW kama Costa?
Kingine kukopa ni namna ya kudeal na financial fair play, kama hauelewi ffp ni nini, tafuta mtu akuelezee.

Asee, dahBaba apange anachopanga kikubwa southampton apasuke. Waliotufunga wote inabidi waonje kipigo. So apange anachoona ni sawa.

Baba apange anachopanga kikubwa southampton apasuke. Waliotufunga wote inabidi waonje kipigo. So apange anachoona ni sawa.

Tulia ufundishwe mpira. Hao jamaa tulikua na red na tukiwa hovyo hovyo lakini tulitoka nao suluhu.
Nakubali mkuuHii nayo ni hoja japo sijui wenzetu ulaya wanaichukuliaje. Wachezaji wa Amerika ya kusini kutokana na street football zao wanakuwa fighters kweli kweli hususan mataifa kama Argentina na Chile. Brazil inawahusu lakini wao wanalo tatizo la msingi la kushindwa kuji-manage hususan maisha yao off the pitch.
Kama hilo la kuwa ni Mu-Amerika ya kusini lina uzito wowote ule kwa wenzetu basi buendia might be a best option in the summer
kelele nyingi mwisho wako next wkend, ukirudisha porojo humu tena ntakuona wewe kidumeHivi sasa ni dakika ya 89 ngoma bado ngumu.
Sioni aseno anashindaje hii game.
kwenye ligi watapasuka tu, hapo ndipo kocha anapokera, sijui dharau huwa anazitoa wapi! yaani ana-act as if tupo UEFA final.Kwa mara ya kwanza Southampton kaifunga Arsenal kwenye FA.

kwenye ligi watapasuka tu, hapo ndipo kocha anapokera, sijui dharau huwa anazitoa wapi! yaani ana-act as if tupo UEFA final.![]()
Southampton hahahaWe na we unaandika kama umepakwa maziwa mkononi.
Bayern inakopa wachezaji mno. Inachukua treble msimu uliopita zaidi ya wachezaji 4 wa first 11 ni mkopo.
Msimu umeisha, amekopa tena wachezaji zaidi ya 3 wale wa kwanza kawarudisha. Miongoni mwa waliokopwa msimu huu ni Douglas Costa, kwa timu yenu mna mchezaji RW kama Costa?
Kingine kukopa ni namna ya kudeal na financial fair play, kama hauelewi ffp ni nini, tafuta mtu akuelezee.



