Na roboSamahanini! Game ni saa 9 na dakika ngapi?
Na roboSamahanini! Game ni saa 9 na dakika ngapi?
Nimeona aisee. Sasa hapa kiukweli Emile na Saka wajiandae.
Angeweza jumanne kuanza na auba kama anahofia fatigue or injury kwa laccaNahisi anahofia majeruhi si unajua jnne tunakutana nao tena. So Soton kaamua kuanza kutubana huku huku epl be damned.
Samahanini! Game ni saa 9 na dakika ngapi?
Ukichezea koki lazima ulowe.Leo walcot atajua ajui
#COYG
Ha ha ha ha ha ha mpaka kuandika kunakushinda, chezea Soton weye!Nketiah yupo. uwa Jana?
Mpira dakika 90Ukichezea koki lazima ulowe.
Kwakua umechezea 442 ngoja uchezee kichapo.
You are very rightAliyeuliza Emile hua anafanya nini ndiyo hicho ambacho huoni waliopo wakikifanya.
Anyway, kati ya Xhaka au Elneny mmoja inabidi atoke. Kule mbele Pepe, Willian na Nketiah inabidi watoke. Ingawa kitakwimu Pepe ana chance bado.
Forward minded tulionao ni Thom na Saka. Arteta atakua anajuta kutomuweka Emile na Tierney kwenye selection. These are our chance creators yeye kawatupa kabisa nje ya kikosi.
Mpira ni kitu simple. Ni kwamba ukiwa na Emile, Saka, Tierney na Laca hiyo mechi unashinda. Kucomplicate vitu ni kutaka mpira uonekane mgumu.
Willian Pepe na Nketiah hawatakiwi kuwepo Arsenal next season ,timu imepwaya kama mlenda hiviAliyeuliza Emile hua anafanya nini ndiyo hicho ambacho huoni waliopo wakikifanya.
Anyway, kati ya Xhaka au Elneny mmoja inabidi atoke. Kule mbele Pepe, Willian na Nketiah inabidi watoke. Ingawa kitakwimu Pepe ana chance bado.
Forward minded tulionao ni Thom na Saka. Arteta atakua anajuta kutomuweka Emile na Tierney kwenye selection. These are our chance creators yeye kawatupa kabisa nje ya kikosi.
Mpira ni kitu simple. Ni kwamba ukiwa na Emile, Saka, Tierney na Laca hiyo mechi unashinda. Kucomplicate vitu ni kutaka mpira uonekane mgumu.