Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
umesema kweli kwasasa tunamiliki sana mpira, tulikosa mtu tu wa kwenda mbele zaidi, rowe hiyo kazi anaiweza,kwasasa viungo wanaopeleka mipira mbele kuna partey, na smith ,Not too fast bro.
Arsenal inamiliki mpira. Au niseme inacheza ikilenga kumiliki mpira. Ikiwa inafanya hivyo akitokea mchezaji mwenye attitude ya kusonga mbele ataonekana assisstor mzuri.
Ndiyo kinachotokea kwa Emile.
Odegaard hizo games tano unazompa naamini atakuacha njia panda ama umuongezee mechi au ukubali kua he is good. Skills zake zinampa uwezo mkubwa wa kuoffer something ndani ya hizo games tano.
Magoli anayotamani kufunga Pepe utamuona huyu atakavyofanya.
xhaka ,ceba, na elneny sio wabunifu kabisa kwa kupeleka mipira mbele, nilikuwa naangalia juza partey mipira yake dhid ya newcastle , 90% ni forward pass tu,
" title="
" width="" height="" />
" title="
" width="" height="" />
" title="
" width="" height="" />