Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,384
Nketiah always rubbish
mitano tenaYani Artete anapumzisha watu ili wakacheze epl then end result ni ipi wakati EPL hatufiki kokote. Hayuko serious. Wakati klopp na PEP wanachezesha full squad ata against league one clubs kwene game za FA
Hivi sasa ni dakika ya 89 ngoma bado ngumu.Mpira dakika 90
Mganga wa Nketiah asipokupa madini anakupa makabila.Namtamfuta mganga wa Nketiah anipe madini makubwa na mimi nifanikiwe
Acha kulialia nyau broYani Artete anapumzisha watu ili wakacheze epl then end result ni ipi wakati EPL hatufiki kokote. Hayuko serious. Wakati klopp na PEP wanachezesha full squad ata against league one clubs kwene game za FA


)kombe ambalo hatuwezi kulichukuaMshikaji (Arteta) ni mbovu hana kiwango cha kufundisha timu yeyote EPL.Tufanye mshkaji ameshindwa jua vipaumbele
Odegarrd anawafaaa.Zimebaki dakika 2, sioni tukifanya maajabu ya kupindua matokeo haya.
Arsenal yetu tukiri wazi inahitaji namba 10 mbunifu.
So sad bingwa mtetezi tunatolewa mashindanoni![]()
Arteta ni mpumbavu Southampton kaleta full squad, kocha wao anajua nini anakitaka ila Arteta hajui kipaumbele chake ni niniOur season is over!we are not going to win any trophy in this season with Willian Pepe Nketiah Never
J4 tukifungwa tena itakuwa aibu kubwa sana ya kimatako, FA ilikuwa ndio kombe letu la kulipigania ila Arteta akili zake anazijua mwenyewe kapumzisha watu wa maana kwa ajili ya EPL()kombe ambalo hatuwezi kulichukua
Kwa nini unasema hamuwezi kubeba EPL? Mpaka sasa mpo nyuma alama 13 na anayeongoza ligi ( Manchester United) na wote tumebakiza michezo 19, huoni kama hapa linaweza kutokea lolote?Our season is over!we are not going to win any trophy in this season with Willian Pepe Nketiah Never
J4 tukifungwa tena itakuwa aibu kubwa sana ya kimatako, FA ilikuwa ndio kombe letu la kulipigania ila Arteta akili zake anazijua mwenyewe kapumzisha watu wa maana kwa ajili ya EPL()kombe ambalo hatuwezi kulichukua
Our season is over!we are not going to win any trophy in this season with Willian Pepe Nketiah Never
Pepe kapata faulo dk ya 84 ila alichokipiga tunamuachia Mungu
J4 tukifungwa tena itakuwa aibu kubwa sana ya kimatako, FA ilikuwa ndio kombe letu la kulipigania ila Arteta akili zake anazijua mwenyewe kapumzisha watu wa maana kwa ajili ya EPL()kombe ambalo hatuwezi kulichukua