ni natural AM , yaani huyo Jack... ni habari nyingine, aour hamgusi hata kidogo, jack anacheza LW & RW , Llkn main position yake ni AM, Sio hype, jack hata last seaoson wakiwa mkiani yeye binafsi alikuwa vzr, ndie aliplay part kubwa kuipandisha daraja wakiwa championship, uwezo wake hauna doubt, mancity wana nafas kubwa kumpata summer
Aston villa wanapocheza 4-3-3, anacheza morden no.10 ambayo ozil ilikuwa ngumu kumpanga, kwa mujibu wa Transfer market wanasema ni AM as main natural position ,
ni moja ya jina linatajwa summer but itacost paund million 75-80. , ili kumpata,