Upinzani wa jadi kwa Spurs na Arsenal ni wa moto kuliko hata kwa Chelsea.Anaweza mbona, nakumbuka Morinho miaka ya nyuma aliwahi kusema timu ndogo Kama Spurs ni ya kufundishwa na makocha wadogo wadogo, lakini leo hii yeye ndio kocha mkuu wa Spurs.
Na ukichunguza kauli yake ilichagizwa na hili hili joto la upinzani wa jadi Kati ya Spurs na Chelsea
Halafu Chelsea mpinzani wake ni Fulham kuliko hata hao wawili.
Si unaona Adebayor anavyosahauliwa na Arsenal kwa kwenda Spurs wakati Cole kwenda Chelsea siyo big deal sana.
