Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Katika kundi letu timu iliyotupa ugumu kushinda ilikua hii.

Leo tunaiongoza 3 bila
 
1607080066433.png
 
Katika kundi letu timu iliyotupa ugumu kushinda ilikua hii.

Leo tunaiongoza 3 bila
niliona Molde ndio ilikuwa ngumu. Mtazamo wangu kwa jana, Nelson akipewa playing time ya kutosha ana vitu vikubwa naviona ndani mwake, anajituma. maamuzi yake yapo 90% perfect
 
niliona Molde ndio ilikuwa ngumu. Mtazamo wangu kwa jana, Nelson akipewa playing time ya kutosha ana vitu vikubwa naviona ndani mwake, anajituma. maamuzi yake yapo 90% perfect
🤣🤣🤣 Mnajimbafai na hao vibonde subiri epl ndio Kuna maumivu naombeni Madrid asiende Europa league habari yenu itakuwa imeisha.
 
niliona Molde ndio ilikuwa ngumu. Mtazamo wangu kwa jana, Nelson akipewa playing time ya kutosha ana vitu vikubwa naviona ndani mwake, anajituma. maamuzi yake yapo 90% perfect
Siyo Rapid Vien walianza kutuongoza? Tukasawazisha kwa kichwa cha Luiz na ikabidi tuingize Bellerin na Auba ili kupata goli la ushindi jioni kabisa?
 
🤣🤣🤣 Mnajimbafai na hao vibonde subiri epl ndio Kuna maumivu naombeni Madrid asiende Europa league habari yenu itakuwa imeisha.
Timu ya kwanza katika kundi la Madrid ina points 8, Madrd ana points 7 ni wa tatu kazidiwa magoli na timu nyingine yenye points 7 pia.

Inter ana points 5 na ndiye anashika mkia.

Ukiamua kutumia akili kati ya Inter na Madrid nani anaweza kwenda Europa ukizingatia mechi zao za mwisho?
 
Back
Top Bottom