Itaweza kukufikia?Niuzie screen niongeze kwenye biashara yangu
Niuzie screen niongeze kwenye biashara yangu
Mustafi
Ooooh my God
Tutafigure out. Nipo Dar.Itaweza kukufikia?
Nimeamua kutoongelea mpira katika uzi huu, nasoma tu comments na kulike siyo kwamba nakimbia.Muda mwingi nakuona unachungulia tu.
Pole mkuu
Nimeamua kutoongelea mpira katika uzi huu, nasoma tu comments na kulike siyo kwamba nakimbia.
Sasa hv tunamuita magazeti 📰📰📰Lacazette![]()
Vema kabisaaaaaMnaendeleaje na hali ndugu zangu.?
Mkikutana na Chelsea mtajua hamjuiVema kabisaaaaa
Hapo kwenye kutoa maoni ndiyo watu hua wanaandika matusi ndiyo maana nimestop.Kwa upande wako bado una imani na Arteta?
Maana kuna watu wamesha anza kumkataa humu.