Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kuna wachezaji hawafai kabisa kuichezea Arsenal na wanapaswa kuuzwa iwe ni kwa kulazimisha au hiari!!

Kila siku huwa nasema Lacazette siyo mchezaji anayepaswa kucheza Arsenal,sijajua hii Taka taka waliokotea wapi,Hv foward unajua kabisa mmeshafungwa goli unapata nafasi kama ile unashindwa kufunga,Hii siyo foward bali ni kopo la chooni la kujichambia!!

WACHEZAJI WANAOPASWA KUONDOKA ARSENAL IWE NI HIARI AMA LAZIMA

1.LACAZETTE
2.PEPE
3.ELNENY
4.DAVID LUIS
5.BELELIN

HIZI TAKA - TAKA ZOTE INAPASWA ZIONDOKE HAPO

Arteta pia inapaswa abadilike mbwa yule,haiwezekani unasajili beki kwa gharama kubwa kama GABRIEL halafu unamwacha nje,unawezaje kumwacha nje mkata umeme kama Cebalos?,Angalia Alipo ingia namna gemu ilivyobadilika kwa upande wetu japo hatukupata goli lakini unaona kabisa anaichezesha timu!!,Hii gemu huyu Arteta asingewachezesha hao matahira wenzie tulikuwa tunapata sare!


NIMEUMIA SANA!

hapa umeandika EMOTIONS TUPU

hakuna uhalisia kabisa kaka......pole sana, ceballos kaingia liverpool wamechoka hawa press kama dakika 70 za mchezo

mpira uangalie kwa uhalisia sio kuhemkwa na hisia ulizoandika hapo
 
Nimewaza sana sema nimeamua kukaa kimya. Torreira anakichafua sana sielewi nini kinatokea. Hii game hata angeanza Torreira na mmoja kati ya Elneny/xhaka nakuhakikishia Pale kati kingechafuka

Torreira angefanya maajabu gani asee ama mpira tunatizama tofauti?
 
Kuna wachezaji hawafai kabisa kuichezea Arsenal na wanapaswa kuuzwa iwe ni kwa kulazimisha au hiari!!

Kila siku huwa nasema Lacazette siyo mchezaji anayepaswa kucheza Arsenal,sijajua hii Taka taka waliokotea wapi,Hv foward unajua kabisa mmeshafungwa goli unapata nafasi kama ile unashindwa kufunga,Hii siyo foward bali ni kopo la chooni la kujichambia!!

WACHEZAJI WANAOPASWA KUONDOKA ARSENAL IWE NI HIARI AMA LAZIMA

1.LACAZETTE
2.PEPE
3.ELNENY
4.DAVID LUIS
5.BELELIN

HIZI TAKA - TAKA ZOTE INAPASWA ZIONDOKE HAPO

Arteta pia inapaswa abadilike mbwa yule,haiwezekani unasajili beki kwa gharama kubwa kama GABRIEL halafu unamwacha nje,unawezaje kumwacha nje mkata umeme kama Cebalos?,Angalia Alipo ingia namna gemu ilivyobadilika kwa upande wetu japo hatukupata goli lakini unaona kabisa anaichezesha timu!!,Hii gemu huyu Arteta asingewachezesha hao matahira wenzie tulikuwa tunapata sare!


NIMEUMIA SANA!
kweli umeumia ndugu yangu hadi Elneny na Luiz umewaon viazi. pole sana mkuu
 
Yes, Liverpool kashinda na hongera. Lakini ni vyema kuwakumbusha Premier League na Officials & VAR Committee kutoharibu football hasa Liverpool, United Games + against English players.

• Sadio Mane (Red Card)?
• Alexander-Arnold (Red Card)?
• Diogo Jota (Handball)?

I don't know ... cc. Don Clericuzio King Ngwaba
Ile ya diogo jota ikanikumbusha ya kai havertz na goli la tatu la chelsea
 
Umeongea ukweli kwa kiasi kikubwa, tatizo mashabiki wengi wanadhani ubingwa ni jambo jepesi tu, yaani wenzio wamejipanga kwa misimu kadhaa na wana invest kwenye vikosi we uje from nowhere kisa tu unafundishwa na Arteta?!

Ukiwaambia watu watakupa mfano wa Leicester, ile timu ilikuwa na consistence week in week out, tatizo tu ni kuwa haikuwa favourite kwa watu almost wote ila in terms of perfomance walistahili ubingwa.

Tukubali Liver kwa sasa sio level yetu japo tukikutana naye tutapambana kwa kadri ya uwezo wetu kama ambavyo tumewahi kuwasimamisha na ubora wao.

Arsenal is still a work in progress, given time and funds things will be okay. Kutarajia makubwa kwa sasa ni kujiumiza kama washabiki, wakitu surprise no problem tunafurahi ila wakiharibu tusipoteane.
hamna sehemu nilisema hii game tunashinda. Ila nilisema naprefer point kutoka katika meetings zetu na hawa jamaa. Arteta alikua wazi tangu day one alisema "tuna misimu 3 kabla ya kua na timu ya kugombea ligi"

Souness akasema "Arsenal haionyeshi kama ni mshindani wa ligi labda short term tournament" kuna jamaa aliandika humu kua msimu huu ligi yetu nikamjibu "Arsenal haina mpango na ubingwa" so kama kuna mtu anadhani eti hii loss ni pigo kwa Arsenal au bodi anajidanganya, labda mashabiki kwakua tunataka kutambiana lakini kocha na kikosi wao wanajifunza.

kuna plastic fan mmoja wa chelsea (hata kumtaja naona uvivu) kamuambia plastic mwenzie kwamba tunakutana na liva Alhamisi halafu mwenzake akajibu "Liva hayupo serious na Carabao ndiyo maana anachezesha kikosi cha pili"

Game na Leicester Arsenal tulianzisha regular starters wa first XI watatu tu. liva akicheza na ile timu ambayo najua mshaisahau jina alinzisha watano akiwemo Van Dijk sisi Gabriel ambaye definitely alihitaji game time alikua benchi. Auba, Ceballos, Guendouz, Ozil, Tierney hata kwenye benchi hawakuwepo.

dzinga
 
Yah sikucheki game ila ile elbow ya Mane ilikuwa ni intensional aisee, alistahili red card. Hizo nyingine sikuziona kwenye highlights.

Yes, Liverpool kashinda na hongera. Lakini ni vyema kuwakumbusha Premier League na Officials & VAR Committee kutoharibu football hasa Liverpool, United Games + against English players.

• Sadio Mane (Red Card)?
• Alexander-Arnold (Red Card)?
• Diogo Jota (Handball)?

I don't know ... cc. Don Clericuzio King Ngwaba
 
Yah sikucheki game ila ile elbow ya Mane ilikuwa ni intensional aisee, alistahili red card. Hizo nyingine sikuziona kwenye highlights.
Lengo lake kumpa elbow ya mwili lkn sio ya. USO ile imetokea bahati mbaya maana alikuwa anaconcentrate na mpira
 
Hata hivyo msijifanye mmesahau huu ndiyo msimamo wa Ligi. Watafute majirani zetu Chelsea, Tottenham na wale wengine wale.
Mkuu unajua kujipa moyo
IMG-20200929-WA0009.jpg
 
Lengo lake kumpa elbow ya mwili lkn sio ya. USO ile imetokea bahati mbaya maana alikuwa anaconcentrate na mpira
Kwa kuzingatia discipline yake mazingira yale yanaweza kumpa benefit of doubt kwa kuwa si mtu wa rafu kwenye game.
 
Poleni wana arsenal wenzangu kwa matokeo haya.Mpira ni mchezo wa makosa.
Tumepata nafasi tumetumia chache na tumefanya makosa yametugharimu.

Ni matumaini yangu kuwa Liverpool walikuwa na hasira na msiba wa juzi ndiyo maana game ilikuwa ngumu pande zote.


Thanks to all arsenal fans. Tuna timu nzuri na tutafanya vyema next game.

Mungu ibariki arsenal Mungu tubariki arsenal fans tuendelee kuwa na umoja wetu.

We are the gunners forever.

Sent using Jamii Forums mobile app

Husisahau kuwa alhamisi mnakutana na Liver tena
 
Back
Top Bottom