Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kuna wachezaji hawafai kabisa kuichezea Arsenal na wanapaswa kuuzwa iwe ni kwa kulazimisha au hiari!!

Kila siku huwa nasema Lacazette siyo mchezaji anayepaswa kucheza Arsenal,sijajua hii Taka taka waliokotea wapi,Hv foward unajua kabisa mmeshafungwa goli unapata nafasi kama ile unashindwa kufunga,Hii siyo foward bali ni kopo la chooni la kujichambia!!

WACHEZAJI WANAOPASWA KUONDOKA ARSENAL IWE NI HIARI AMA LAZIMA

1.LACAZETTE
2.PEPE
3.ELNENY
4.DAVID LUIS
5.BELELIN

HIZI TAKA - TAKA ZOTE INAPASWA ZIONDOKE HAPO

Arteta pia inapaswa abadilike mbwa yule,haiwezekani unasajili beki kwa gharama kubwa kama GABRIEL halafu unamwacha nje,unawezaje kumwacha nje mkata umeme kama Cebalos?,Angalia Alipo ingia namna gemu ilivyobadilika kwa upande wetu japo hatukupata goli lakini unaona kabisa anaichezesha timu!!,Hii gemu huyu Arteta asingewachezesha hao matahira wenzie tulikuwa tunapata sare!


NIMEUMIA SANA!
Mkuu unataka kusema hadi comrade Kipepe naye tumepigwa? Haiwezekani mkuu huyu dogo tuendelee kumpa muda ataja improve wani dei tu. May be mwisho wa msimu ujao ndio tuanze kumjaji sasa ivi bado mapema sana mkuu.

Kipepe mtu bhana ni swala la muda tu
 
Hee hadi Luiz tena?
Mkuu acha tu walivyokuwa wanawapigia chapuo kina luiz , Mara cjui elneny kaimprove unaweza kuogopa, Mara holding atampocket mane yaan ni vituko tupu. Mara andaeni mabeki wa 5 wakumkaba auba


Aubameyang in 90 mins vs LFC
0 goals
0 shots attempts
0 shots on goal
0 shots off target
0 key passes
24 touches
8 accurate passes only.
15 times possession lost
 
Mkuu unataka kusema hadi comrade Kipepe naye tumepigwa? Haiwezekani mkuu huyu dogo tuendelee kumpa muda ataja improve wani dei tu. May be mwisho wa msimu ujao ndio tuanze kumjaji sasa ivi bado mapema sana mkuu.

Kipepe mtu bhana ni swala la muda tu
Yule siyo mchezaji mkuu bali alikuwa muokota mipira huko aliko toka,inapaswa Arsenal warudi waangalie vizuri pengine labda tulibadilishiwa siyo yeye,Hakuna mchezaji anaye nikera hapo Arsenal kama PEPE na LACAZETTE
 
Wakuu, kesho asubuhi mimi nachukua train ya mwisho Euro Star kutokea St Pancras naelekea Lyon kuangalia ustaarabu.

Ni lazima tumsajili Houssem Aouar by Friday.

Tukutane jumapili Arsenal na Sheffield United.

Umeruka Alhamisi unakutana na majogoo tena
 
Castr
DullyJr
Aaron Arsenal
Will jr
computerarsenal
14Henry
Relief Mirzska
gspain

Ndugu zanguni hii mechi kweli tumefungwa lakini maisha lazima yaendelee,katika ujengaji wa timu ajali Kama hizi lazima zitokee,

Bila shaka arteta atakua amejifunza sth juu ya style yetu ya kufanya 'build up' dhidi ya time zinazofanya press Kama Liverpool,

Laccazzette! Laccazzette! Dah!! Sijui Jana aliwaambia nini wenzake!,double open chances afu katika mechi Kama Ile hauwezi ukakosa kipuuzi vile,

Anyway let's look to another fixture.
Mkuu shida hao ndugu zako wanakelele kuliko uhalisia. Ndio maana ni wepesi kujipiga ban matatizo yanapotekea.

Hao utaanza kuwaona baadhi game ya Chelsea leo usiku wanakuja kupiga ramli.
 
Mkuu acha tu walivyokuwa wanawapigia chapuo kina luiz , Mara cjui elneny kaimprove unaweza kuogopa, Mara holding atampocket mane yaan ni vituko tupu. Mara andaeni mabeki wa 5 wakumkaba auba


Aubameyang in 90 mins vs LFC
0 goals
0 shots attempts
0 shots on goal
0 shots off target
0 key passes
24 touches
8 accurate passes only.
15 times possession lost
Huyu Auba wa kukabwa na mabeki watano unataka kuniambia hana shot on/off target hata moja na nasikia alipewa mchezaji mmoja tu wa kumshughulikia!!
 
Kuna wachezaji hawafai kabisa kuichezea Arsenal na wanapaswa kuuzwa iwe ni kwa kulazimisha au hiari!!

Kila siku huwa nasema Lacazette siyo mchezaji anayepaswa kucheza Arsenal,sijajua hii Taka taka waliokotea wapi,Hv foward unajua kabisa mmeshafungwa goli unapata nafasi kama ile unashindwa kufunga,Hii siyo foward bali ni kopo la chooni la kujichambia!!

WACHEZAJI WANAOPASWA KUONDOKA ARSENAL IWE NI HIARI AMA LAZIMA

1.LACAZETTE
2.PEPE
3.ELNENY
4.DAVID LUIS
5.BELELIN

HIZI TAKA - TAKA ZOTE INAPASWA ZIONDOKE HAPO

Arteta pia inapaswa abadilike mbwa yule,haiwezekani unasajili beki kwa gharama kubwa kama GABRIEL halafu unamwacha nje,unawezaje kumwacha nje mkata umeme kama Cebalos?,Angalia Alipo ingia namna gemu ilivyobadilika kwa upande wetu japo hatukupata goli lakini unaona kabisa anaichezesha timu!!,Hii gemu huyu Arteta asingewachezesha hao matahira wenzie tulikuwa tunapata sare!


NIMEUMIA SANA!

Mkuu husiumie sana ndiyo mpira ulivyo. Ila hata mie japo siyo mshabiki wa arsenal lawama nampa Lakazeti. Jamaa amepata nafasi mbili xa wazi lakini ndiyo ivo tena.

Jana sijamuona Auba yule msumbufu jana hajagusa mpira dakika 45 za mwanzo. Kipindi cha pili aligusa mara mbili tu
 
Yule siyo mchezaji mkuu bali alikuwa muokota mipira huko aliko toka,inapaswa Arsenal warudi waangalie vizuri pengine labda tulibadilishiwa siyo yeye,Hakuna mchezaji anaye nikera hapo Arsenal kama PEPE na LACAZETTE
Dully Jr, Aaron, Castr na Will Jr nsomba waje kutoa maelezo juu ya comrade Kipepe.
 
Ninatafutia mkate wangu Makumbusho na ninaishi Boko Ili niangalie mechi usiku wazia narisk vingapi? So leo ni nina hasira huku akili ipo hoi.

Na muda wote nipo kwenye purukushani za magari nawaza zile miss mbili za Lacazette, sasa hivi huko alipo atakua anawaza nini? Striker kamili unakosaje kuscore katika near identical chances?

Timu yetu ilikua hoi yet among huo uhoi some individual thought "No lets go down fighting" wanakuletea mpira kisha unafanya ujinga? Nimezoea kuona strikers wawili wanaokosa wakibaki na kipa, Rashford na Tammy leo huyu kajileta kwenye group hili.

Xhaka kama ana kutu mwili mzima, Niles, Tierney wote hawajaperform katika expected performance. Nilisema Willian hung'aa mechi moja na kupotea zijazo. Leo imejidhihirisha na mechi iliyopita imejidhihirisha.

Arteta alisema hagombei kikombe chochote lakini sikutaraji performance iwe hivi hata nilivyoandika juu ya possession kona n.k. sikudhania itakua katika hali hii.

Leeds alipata goli 3 kwa Liva. Arsenal tumepata moja na nafasi mbili kaharibu striker so Leeds ana finishing nzuri kuizidi Arsenal inapokuja juu ya kucheza na Liva. Nilisema the only way Leeds secured those goals ni kwakua waliubeba ugomvi mpaka mlangoni kwa Liva nikasema tuliopt kustay tulivyokutana nao maajabu tukashinda.

Leo tumeopt kustay na tumeonyeshwa ni jinsi gani ulikua ni uamuzi wa kijinga.

Katika point 12 tumeshapoteza 3. Tuone tutasecure ngapi kati ya zilizobaki.

Lacazette mjinga sana.

On to the next one.
Huna team mzee
 
Back
Top Bottom