Kama namuona amejifunga kiremba na kuvaa dera then kachomeka kwenye chupi mtoto anamdomo mchafu sanDully Jr na Aaroon hamjambo! bila shaka mtakuwa mmeamka salama.
Haha utasema yote mpka uchawi wa babu ykoKufa![]()
Dah ...... ..... hawa loserfools naona walimweka refa mfukoni.
Mshabiki halisi lazima awe na determinant kubwa siku zote sasa wewe unapomzodoa ni wazi wewe ndo huujui mpira vizuri.NIMEAMINI YULE MUHINDI WA BETTING ATAENDELEA KUMALIZA HELA ZA VIJANA KAMA HAWA...YAANI ULIAMINI KABISA UTAMFUNGA mane,firminho,salah UKIWA NA KINA elnany na kipepe?
Mkuu umeona kama nilivyo predict na imetokeaTukutane saa 4 anfield,mpira ni mchezo wa wazi na unachezwa hadharani.
Kama nilivyosema ndio kama ilivyotokea.FT Liver 3-1 Arsen8
Naona kuna watu wanajipa moyo tayari
Usimfananishe kepa na takataka pepeNicolas Pepe is second worst signing after kepa arrizabalaga
Kwa hiyo unamfananisha Liverpool na Leicester city na nyie na Mancity, huna adabu kabisaMan City jana amebugizwa 5...... Sisi wala hatuna roho mbaya kiasi hiko. Tutapiga Liverpol bao 3 tu ili marehemu asidhalilike sana.
Oya hii kwa wakamaria ingewafaa kabisa mkuu odds mlima ingekuwaFT Liver 3-1 Arsen8
Naona kuna watu wanajipa moyo tayari
Vipi hizo goli 3 mbona zimerudi kwako au ulikuwa unaota kipindi unaandika hizo pumba zakoMan City jana amebugizwa 5...... Sisi wala hatuna roho mbaya kiasi hiko. Tutapiga Liverpol bao 3 tu ili marehemu asidhalilike sana.
Mkuu wewe ni Shehe Yahya![]()

Mkuu kuna vitu vingine vinaonekana tu. Hawa Arsenal wanaongea sana lakini hamna kitu hapa.Hahaha!!! Sawa chief kongole Sana.Mkuu umeona kama nilivyo predict na imetokea
Wambie waje kuijenga timu yao huku sio wanakimbia hovyo kama watoto wa mitaaniCastr
DullyJr
Aaron Arsenal
Will jr
computerarsenal
14Henry
Relief Mirzska
gspain
Ndugu zanguni hii mechi kweli tumefungwa lakini maisha lazima yaendelee,katika ujengaji wa timu ajali Kama hizi lazima zitokee,
Bila shaka arteta atakua amejifunza sth juu ya style yetu ya kufanya 'build up' dhidi ya time zinazofanya press Kama Liverpool,
Laccazzette! Laccazzette! Dah!! Sijui Jana aliwaambia nini wenzake!,double open chances afu katika mechi Kama Ile hauwezi ukakosa kipuuzi vile,
Anyway let's look to another fixture.
Huyu Leno tumepigwa kabisa. Yan haiwezekani mchezaji yoyote akilenga tu golini IMOOO!!Ila Leno naye tatizo lingine haiwezekani timu inacheza kwa kushambulia kwa kushtukiza halafu hakuna hata mpira mmoja anaofosi mbele eidha kwa viungo au washambuliaji yani mwanzo mwisho anatoa pasi kwa mabeki tena hajali wamekabwa au vipi aisee