hamna sehemu nilisema hii game tunashinda. Ila nilisema naprefer point kutoka katika meetings zetu na hawa jamaa. Arteta alikua wazi tangu day one alisema "tuna misimu 3 kabla ya kua na timu ya kugombea ligi"
Souness akasema "Arsenal haionyeshi kama ni mshindani wa ligi labda short term tournament" kuna jamaa aliandika humu kua msimu huu ligi yetu nikamjibu "Arsenal haina mpango na ubingwa" so kama kuna mtu anadhani eti hii loss ni pigo kwa Arsenal au bodi anajidanganya, labda mashabiki kwakua tunataka kutambiana lakini kocha na kikosi wao wanajifunza.
kuna plastic fan mmoja wa chelsea (hata kumtaja naona uvivu) kamuambia plastic mwenzie kwamba tunakutana na liva Alhamisi halafu mwenzake akajibu "Liva hayupo serious na Carabao ndiyo maana anachezesha kikosi cha pili"
Game na Leicester Arsenal tulianzisha regular starters wa first XI watatu tu. liva akicheza na ile timu ambayo najua mshaisahau jina alinzisha watano akiwemo Van Dijk sisi Gabriel ambaye definitely alihitaji game time alikua benchi. Auba, Ceballos, Guendouz, Ozil, Tierney hata kwenye benchi hawakuwepo.
dzinga