Mkuu japo sikufanikiwa kucheki game yote ila nimejitahidi kupitia highlights kwa kiasi kikubwa kupata insight ya what happened na hii ndiyo observation yangu.
Liverpool were better in all aspects, if we are to compete in the same level atleast to start with tunawahitaji both Partey na Aouar.
Japo bado wenzetu wako ahead of us, project yao inaelekea mwaka wa tano na wamekuwa wakisajili kwa usahihi na kuboresha viwango vya wachezaji wao almost kila season.
Defensively:
Arsenal were much exposed due to lack of balance in the midfield. Xhaka anapokutana na runs za kutosha kama jana inampa ugumu sana na sio yeye tu bali midfielder yoyote atakayepewa defensive role huku anatumia left foot.
Tazama ligi zote kubwa Ulaya utakuta ni midfielders nadhani wawili tu (Xhaka na Fred wa Utd) wanaotumia miguu ya kushoto ndio wanacheza kama defensive midfielders, kwa asili mguu wao wa kulia ni very weak kuliko mguu wa kushoto wa player anayetumia mguu wa kulia.
Midfield:
Tumekuwa na almost one way ya kuattack kama mtakumbuka yale magoli ya Auba yanayofanana kila kitu jambo linalofanya tunakuwa very predictable.
Japo huwa tunatumia wing backs kushambulia lakini kwa jana huwezi panda kizembe against Liverpool's Mane na Mo Salah, kwa hiyo tulibaki na option moja.
Utaona jana wamemdhibiti Auba kirahisi ikamfanya Lacca apate nafasi kadhaa ambazo naye hakuwa makini kuzitumia.
Pia sababu wamejua tuna attack kwa long balls tukitegemea speed ya strikers wetu especially Auba, wamecheza offside tricks za kutosha na walifanikiwa sana (5 offsides).
Elneny ameonesha ni mtu muhimu sana pale kati na alijitahidi kufanya kazi yake vema, akicheza mtu kama Partey watatengeneza very solid midfield.
Attacking:
Sina shaka tuna strickers wazuri japo jana Willian hakucheza vizuri na pia Pepe(kama kawaida yake). Bado strikers wetu hawawezi kufanya vema sana kama midfielders hawako vizuri.
Matatizo yetu mengi jana yametokana na midfield kushindwa kulink na strikers wakati wa kushambulia na pia kushindwa kutoa cover kwa defenders especially kushindwa kuwapress vizuri wapinzani na kuwapa nafasi ya kutushamulia kwa moves toka nyuma.
Hatuna cha kujilaumu, tumefungwa na timu bora na wametusaidia kuona gap lililopo kati yetu na wao. Japo sikutegemea tungekuwa exposed kiasi hicho, nilitarajia atleast point moja pale Anfield.
Bravo Liverpool!!
Castr
DullyJr
Aaron Arsenal
Will jr
computerarsenal
14Henry
Relief Mirzska
gspain
Ndugu zanguni hii mechi kweli tumefungwa lakini maisha lazima yaendelee,katika ujengaji wa timu ajali Kama hizi lazima zitokee,
Bila shaka arteta atakua amejifunza sth juu ya style yetu ya kufanya 'build up' dhidi ya time zinazofanya press Kama Liverpool,
Laccazzette! Laccazzette! Dah!! Sijui Jana aliwaambia nini wenzake!,double open chances afu katika mechi Kama Ile hauwezi ukakosa kipuuzi vile,
Anyway let's look to another fixture.