Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mkuu samahani, unaujua mpira na kuufatilia mpira wa kizazi hiki vzuri?
Mkuu kwa hiyo wewe unaona hizo TAKA TAKA zipo sawa?,ukitaka kufahamu hizo ni TAKA TAKA kwenye mechi muhimu kama hizi ndo utazielewa vizuri,haiwezekani ukikutana na timu ndogo ndo uonekane bora wakati timu kubwa zinakuzidi kila idara,Lacazette mara nyingi anabahatisha magori,angalia foward kama Vardy hata asipofunga lakini kashi kashi za mabeki wa timu pinzani wanazokumbana nazo,Lacazette nafasi 20 basi atafunga moja!!
 
Kuna wachezaji hawafai kabisa kuichezea Arsenal na wanapaswa kuuzwa iwe ni kwa kulazimisha au hiari!!

Kila siku huwa nasema Lacazette siyo mchezaji anayepaswa kucheza Arsenal,sijajua hii Taka taka waliokotea wapi,Hv foward unajua kabisa mmeshafungwa goli unapata nafasi kama ile unashindwa kufunga,Hii siyo foward bali ni kopo la chooni la kujichambia!!

WACHEZAJI WANAOPASWA KUONDOKA ARSENAL IWE NI HIARI AMA LAZIMA

1.LACAZETTE
2.PEPE
3.ELNENY
4.DAVID LUIS
5.BELELIN

HIZI TAKA - TAKA ZOTE INAPASWA ZIONDOKE HAPO

Arteta pia inapaswa abadilike mbwa yule,haiwezekani unasajili beki kwa gharama kubwa kama GABRIEL halafu unamwacha nje,unawezaje kumwacha nje mkata umeme kama Cebalos?,Angalia Alipo ingia namna gemu ilivyobadilika kwa upande wetu japo hatukupata goli lakini unaona kabisa anaichezesha timu!!,Hii gemu huyu Arteta asingewachezesha hao matahira wenzie tulikuwa tunapata sare!


NIMEUMIA SANA!
Kufa๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Ila Leno naye tatizo lingine haiwezekani timu inacheza kwa kushambulia kwa kushtukiza halafu hakuna hata mpira mmoja anaofosi mbele eidha kwa viungo au washambuliaji yani mwanzo mwisho anatoa pasi kwa mabeki tena hajali wamekabwa au vipi aisee
 


Dah ...... ..... hawa loserfools naona walimweka refa mfukoni.
 
Back
Top Bottom