Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mimi lawama zangu zote naangushia kwa lacca sababu kwa namna kikosi cha liver kilivyo kua ni wazi kabisa ni lazima wangetuzidi kwa kila kitu!
Ila kwa nafasi chache tulizopata tena mtu wa mwisho ni lazima tunge score ili ku balance game.
Pia bila ya kufanya maboresho kwenye kiungo chetu tutaendelea kuwalaumu beki zetu tuna viungo wa kawaida sanaaa.
Lacca ameniboa sana leo.
#ni hayo tu
 
Mimi lawama zangu zote naangushia kwa lacca sababu kwa namna kikosi cha liver kilivyo kua ni wazi kabisa ni lazima wangetuzidi kwa kila kitu!
Ila kwa nafasi chache tulizopata tena mtu wa mwisho ni lazima tunge score ili ku balance game.
Pia bila ya kufanya maboresho kwenye kiungo chetu tutaendelea kuwalaumu beki zetu tuna viungo wa kawaida sanaaa.
Lacca ameniboa sana leo.
#ni hayo tu
 
Wakuu, kesho asubuhi mimi nachukua train ya mwisho Euro Star kutokea St Pancras naelekea Lyon kuangalia ustaarabu.

Ni lazima tumsajili Houssem Aouar by Friday.

Tukutane jumapili Arsenal na Sheffield United.
 
Tuacheni kutupia kila mtu lawama. No matter how we played, in a big game like this forward wetu first choice hawezi kukosa goli kama lile.

Game iliisha pale pale. Those are the chances you just have to smash them in.
kabisa mkuu,alivyokosa goli la pili nikajisemea sasa tunapigwa la tatu kwa uzembe
 
Daah bbc wachokozi sana
Screenshot_20200929-000005~2.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20200929-000005.jpg
    Screenshot_20200929-000005.jpg
    36.6 KB · Views: 5
Kuna wachezaji hawafai kabisa kuichezea Arsenal na wanapaswa kuuzwa iwe ni kwa kulazimisha au hiari!!

Kila siku huwa nasema Lacazette siyo mchezaji anayepaswa kucheza Arsenal,sijajua hii Taka taka waliokotea wapi,Hv foward unajua kabisa mmeshafungwa goli unapata nafasi kama ile unashindwa kufunga,Hii siyo foward bali ni kopo la chooni la kujichambia!!

WACHEZAJI WANAOPASWA KUONDOKA ARSENAL IWE NI HIARI AMA LAZIMA

1.LACAZETTE
2.PEPE
3.ELNENY
4.DAVID LUIS
5.BELELIN

HIZI TAKA - TAKA ZOTE INAPASWA ZIONDOKE HAPO

Arteta pia inapaswa abadilike mbwa yule,haiwezekani unasajili beki kwa gharama kubwa kama GABRIEL halafu unamwacha nje,unawezaje kumwacha nje mkata umeme kama Cebalos?,Angalia Alipo ingia namna gemu ilivyobadilika kwa upande wetu japo hatukupata goli lakini unaona kabisa anaichezesha timu!!,Hii gemu huyu Arteta asingewachezesha hao matahira wenzie tulikuwa tunapata sare!


NIMEUMIA SANA!
 
Nimewaza sana sema nimeamua kukaa kimya. Torreira anakichafua sana sielewi nini kinatokea. Hii game hata angeanza Torreira na mmoja kati ya Elneny/xhaka nakuhakikishia Pale kati kingechafuka

Torreira ndie anaeuzwa ili asajiliwe Partey.
 
Kuna wachezaji hawafai kabisa kuichezea Arsenal na wanapaswa kuuzwa iwe ni kwa kulazimisha au hiari!!

Kila siku huwa nasema Lacazette siyo mchezaji anayepaswa kucheza Arsenal,sijajua hii Taka taka waliokotea wapi,Hv foward unajua kabisa mmeshafungwa goli unapata nafasi kama ile unashindwa kufunga,Hii siyo foward bali ni kopo la chooni la kujichambia!!

WACHEZAJI WANAOPASWA KUONDOKA ARSENAL IWE NI HIARI AMA LAZIMA

1.LACAZETTE
2.PEPE
3.ELNENY
4.DAVID LUIS
5.BELELIN

HIZI TAKA - TAKA ZOTE INAPASWA ZIONDOKE HAPO

Arteta pia inapaswa abadilike mbwa yule,haiwezekani unasajili beki kwa gharama kubwa kama GABRIEL halafu unamwacha nje,unawezaje kumwacha nje mkata umeme kama Cebalos?,Angalia Alipo ingia namna gemu ilivyobadilika kwa upande wetu japo hatukupata goli lakini unaona kabisa anaichezesha timu!!,Hii gemu huyu Arteta asingewachezesha hao matahira wenzie tulikuwa tunapata sare!


NIMEUMIA SANA!
Mkuu samahani, unaujua mpira na kuufatilia mpira wa kizazi hiki vzuri?
 
Ndugu yangu, Siku hizi hakuna cha home wala away. Kilichokuwa kinachagiza mtu ujione away ni MASHABIKI. kelele za mashabiki majukwaani zinachangia sana kutoa hamasa kwa timu zao na kuzinyong'onyeza timu pinzani.... Level ya commitment mbele ya mashabiki ni kubwa sana kwa wachezaji. ....
Bila washabiki mimi naona ni NEUTRAL GROUND.


#Liverpool ATAPIGWA, ATACHAKAA

Eti neutral ground,timu inamtegemea mchezaji mmoja ndio mtufunge pale anfield?

Sasa hili jukwaa utakimbia .
 
Jamani Nicolas Pepe ni Yule Yule wa last season hamna maajabu mlokuwa mkijipa moyo sijui first season ni kuogopa ukweli tu nyota njema huonekana asubuh lkn kwa Pepe imeshindwa kuonekana hata jioni
Mkuu siyo huyu tu,kuna Taka taka kama Lacazette,elneny,belelin,david luis ambazo inapaswa zifagiliwe mbali,
 
Back
Top Bottom