OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,933
- 25,245
Arteta tumepigwa.
Yale matakataka yamepotea😂😂😂😂
Yale matakataka yamepotea😂😂😂😂
Aaaron + Dully na mashabiki wengineo wa Arsenal FC mnaotusumbuaga kwenye uzi wa Chelsea FC naomba msome vizuri huu ujumbe.Mimi lawama zangu zote naangushia kwa lacca sababu kwa namna kikosi cha liver kilivyo kua ni wazi kabisa ni lazima wangetuzidi kwa kila kitu!
Ila kwa nafasi chache tulizopata tena mtu wa mwisho ni lazima tunge score ili ku balance game.
Pia bila ya kufanya maboresho kwenye kiungo chetu tutaendelea kuwalaumu beki zetu tuna viungo wa kawaida sanaaa.
Lacca ameniboa sana leo.
#ni hayo tu
huyu Arteta ni nyoko.
You deserve my compliment mkuuFT Liver 3-1 Arsen8
Naona kuna watu wanajipa moyo tayari
Na kweli mmekutanaTukutane saa 4 anfield,mpira ni mchezo wa wazi na unachezwa hadharani.
Vice versaMan City jana amebugizwa 5...... Sisi wala hatuna roho mbaya kiasi hiko. Tutapiga Liverpol bao 3 tu ili marehemu asidhalilike sana.
KweliLiver HAFUNGWI Anfield
Pigen porojo zote ila hilo mlitambue
Na kweli kakusamehe![]()
![]()
![]()
![]()
Anisamehe kwa kweli
Still nyoko?huyu Arteta ni nyoko.



AKILI YA HOVYO SANA HII...YAANI WALE KINA PEPE NDIO....Man City jana amebugizwa 5...... Sisi wala hatuna roho mbaya kiasi hiko. Tutapiga Liverpol bao 3 tu ili marehemu asidhalilike sana.


NIMEAMINI YULE MUHINDI WA BETTING ATAENDELEA KUMALIZA HELA ZA VIJANA KAMA HAWA...YAANI ULIAMINI KABISA UTAMFUNGA mane,firminho,salah UKIWA NA KINA elnany na kipepe?Naprefer points in all matches against them.
Natarajia hivi;
Tutaongozwa possession. Liva watacheza faulo nyingi ili kuhakikisha wanarudisha possession as fast as possible. Natarajia kadi za njano kwa kila timu angalau 2 na kuendelea.
Wote tutapiga pasi kuanzia 410. Kwa Arsenal mpiga pasi nyingi atakua Xhaka au Elneny (kama ataanza) kwa Liva ni Thiago kama ataanza.
Liva watapiga shots kuanzia 12+ Arsenal tutapiga shots kuanzia 1 - 12.
Kona kwa liva zitakua 6+ Arsenal itakua 0 - 6.
Ikatokea kipindi cha kwanza kimeisha suluhu ya bila bila tukirudi naamini Arsenal tuna chansi ya kushinda kuliko Liva. Liva wana technic moja ya 'attacking fullbacks' ambayo inakua ngumu kutoboa with 3 4 3 na hawana alternative.
Hii mechi tuombe tu VAR isiingilie kati.
Itakua gemu ngumu but it is worth it.