DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,871
Hivi unaijua vizuri £350k/week mkuu?Özil ni Arsenal Fan ni mtu anayefanya kazi ya nyumbani kwa moyo, japo akikosea watu humjia juu. Same kwa Xhaka, Shkodrani, Bellerin, Kolašinac, Chambers kwa namna Arsenal na Supporters wanavyo-treat hawa watu wangelikuwa wameondoka lakini wamebaki sababu ya loyalty na solidarity.



ESPN Brazil: Willian has chosen Arsenal and won’t play for chelsea again. (Their UCL game)