Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Özil ni Arsenal Fan ni mtu anayefanya kazi ya nyumbani kwa moyo, japo akikosea watu humjia juu. Same kwa Xhaka, Shkodrani, Bellerin, Kolašinac, Chambers kwa namna Arsenal na Supporters wanavyo-treat hawa watu wangelikuwa wameondoka lakini wamebaki sababu ya loyalty na solidarity.
Hivi unaijua vizuri £350k/week mkuu?
 
Dogo yupo vizuri sana
Huyu dogo kwa upuuzi wake na umri alionao hawezi uzika kwa hiyo price. Angekuwa na discipline under Arteta price tag yake ingepaa sana. Huyu na Ozil wanapaswa kuikuta mizigo yao kwa mlinzi wa getini pale London Colney.
 
Uko sahihi kabisa
Mkuu kwa maoni yako, hii move ya Willian unaichukuliaje?

Binafsi kwa kuzingatia umri wake na pia ndio tunaanza new era under Arteta, nisingependa wachezaji wenye umri wake. Isitoshe naona kama nafasi anayocheza haina mapungufu sana kwetu na kuna vijana so far wanaonesha matumaini.

Sijajua salary demand yake may be ndio kinacho tuvutia kwake kwa kuzingatia financial situation ya club.
 
Ozil anakosewa heshima mkuu,tulikuwa na wachezaji wanaojituma km Fabregas, Nasri, Van persie,Adebayor,Song,Sagna lakini waliishia wapi?
Ozil alishakuwa peak hapo Arsenal inamhitaji kuliko,alikuwa anauwezo wa kufanya km hao wengine walivofanya ila aliamua kustay bila kuwa na hiyo 350k,

Afu kwa binafsi yangu naona sisi ndio tumemuua huyu jamaa kumchezesha na uozo wa kina Flimpong
 
Lampard and Chelsea knew about the Willian situation and that’s why they didn’t include him on Saturday to avoid Cech situation in the Europa last season.
IMG-20200803-WA0009.jpg
 
Most bought player shirts on Arsenal Direct:

#1. Kieran Tierney
#2. Bukayo Saka
#3. Pierre-Emerick Aubameyang
#4. Alexandre Lacazette

[@jeorgebird]
IMG_20200803_230522.jpg
 
2020/21 Dates for your diary:

Monday 17th August
Arsenal return for pre-season training

Saturday 29th August
Community Shield v Liverpool

Saturday 12th September
Premier League season starts

Friday 2nd October
Europa League Group Stage Draw

No other dates at present.
 
2020/21 Dates for your diary:

Monday 17th August
Arsenal return for pre-season training

Saturday 29th August
Community Shield v Liverpool

Saturday 12th September
Premier League season starts

Friday 2nd October
Europa League Group Stage Draw

No other dates at present.
Ratiba ya mechi za msimu wa 2020/21 ishatoka?
 
Usajili Updates:

1596489989548.png


Baada ya Arteta na timu yake kushinda kombe la FA, Arteta ameiambia bodi kwamba anataka timu icheze mtindo wa 4-3-3 msimu ujao.

Mtindo huo unahitaji wachezaji wa aina ya Willian, Thomas Patey na Phillipe Coutinho.

Isitoshe wiki hii Aubameyang anatarajiwa kutia saini mkataba mpya na Arsenal wa miaka mitatu ambayo utamlipa pauni 250,000 kwa wiki.

Ila Auba anataja kuona wachezaji wa maana wanasajiliwa na arsenal.

Tungoje wiki hii tuone Willian kama atakubali miaka 3 au bado anataka miaka 4.
 
Usajili Updates:

Baada ya Arteta na timu yake kushinda kombe la FA, Arteta ameiambia bodi kwamba anataka timu icheze mtindo wa 4-3-3 msimu ujao.

Mtindo huo unahitaji wachezaji wa aina ya Willian, Thomas Patey na Phillipe Coutinho.

Isitoshe wiki hii Aubameyang anatarajiwa kutia saini mkataba mpya na Arsenal wa miaka mitatu ambayo utamlipa pauni 250,000 kwa wiki.

Ila Auba anataja kuona wachezaji wa maana wanasajiliwa na arsenal.

Tungoje wiki hii tuone Willian kama atakubali miaka 3 au bado anataka miaka 4.
Willian almost deal done

Vyombo Vingi sana Leo vimeripoti

Hadi vya Brazil , Italy

Nadhani wiki haitaisha tutamtangaza
 
(4-3-3)

-MARTINEZ

-BELLE -SALIBA -LUIZ -TIERNEY

-CEBALLOS -PARTEY -XHAKA

-WILLIAN -AUBA - COUTINHO


SUB:
-Leno
-Pepe
-Lacazette
-Holding
-P. Mari
-Mustafi
-Maitland Niles
-Cedric
-Torreira
-Saka


Hivi kikosi kama hiki huyo mpinzani anatokea wapi?!

Yani hapo unaangalia mpira huku pembeni unashushia na kinywaji kabisa!
 
Willian almost deal done

Vyombo Vingi sana Leo vimeripoti

Hadi vya Brazil , Italy

Nadhani wiki haitaisha tutamtangaza

Kuna jamaa aitwa Fabrizio Romano.

Ni mwandishi wa habari za michezo hususan za usajili.

Mwingine ni Bruno Vicari wa Brazil ambae huripoti ESPN

Hawa huwa nawaona wako karibu na source zangu za uhakika.
 
Back
Top Bottom