Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kuna jamaa aitwa Fabrizio Romano.

Ni mwandishi wa habari za michezo hususan za usajili.

Mwingine ni Bruno Vicari wa Brazil ambae huripoti ESPN

Hawa huwa nawaona wako karibu na source zangu za uhakika.

Ngoja niangalie David Ornstein kasemaje sababu akisema huwa inakuwa 95% kweli
 
(4-3-3)

-MARTINEZ

-BELLE -SALIBA -LUIZ -TIERNEY

-CEBALLOS -PARTEY -XHAKA

-WILLIAN -AUBA - COUTINHO


SUB:
-Leno
-Pepe
-Lacazette
-Holding
-P. Mari
-Mustafi
-Maitland Niles
-Cedric
-Torreira
-Saka


Hivi kikosi kama hiki huyo mpinzani anatokea wapi?!

Yani hapo unaangalia mpira huku pembeni unashushia na kinywaji kabisa!

Pia wachezaji wafuatao wanatakiwa kuuzwa na Arsenal ili kuongeza fedha za kumaliza usajili wa Thomas Patey na Phillipe Coutinho, kwani Willian hana ada ya usajili.

Saed Kolasinac- Kuwepo kwa Bukayo Saka, Kieran Tierney na Maitland Niles kumemuweka Kolasinas kwenye wakati mgumu ingawa hutumiwa kwenye mechi muhimu pale inapohitaika kufunfa duka.

Kwa mshahara wake wa pauni 100,000 kwa wiki hakuna timu inaweza kumudu hivyo ataendelea kuwa mchezaji wa akiba.

Matteo Guendouzi- Arsenal walitaka kumuweka Guendouzi kwenye usajili wa Coutinho lakini Barcelona wamekataa. Hata hivyo PSG nao wameonyesha interest hivyo wanangojewa kuweka ofa.

Sokratis - Tayari yupo William Saliba

Lucas Torreira- Yupo nyuma ya Ceballos na Xhaka hivyo anataka kurudi Italy lakini kwa ofa ya maana Arsenal watakuwa tayari kusikiliza.

Mohamed Elneny - Anachezea timu ya besiktas kwa mkopo lakini timu hiyo kwa sasa ina matatizo ya kifedha. Arsenal itasikiliza ofa kutoka timu za Trabzonspor na Olympiacos.

Henrikh Mkhitaryan - Huyu analipwa 200,000 ka wiki na Arsenal akiwa Roma na atamalizia mkataba wake akiwa Roma.

Mesut Ozil- hakuna timu inamtaka Ozil kutokana na mshahara wake mkubwa na Arsenal wanafanya kila wawezalo ili aondoke ikiwemo mbinu ya kutompanga kwenye timu.

Lakini Ozil anamaliza mkataba wake mwakani.

Robert Holding

Calum Chambers-
Fulham wameonyesha nia ya kutaka kumsajili.
 
Pia wachezaji wafuatao wanatakiwa kuuzwa na Arsenal ili kuongeza fedha za kumaliza usajili wa Thomas Patey na Phillipe Coutinho, kwani Willian hana ada ya usajili.

Saed Kolasinac- Kuwepo kwa Bukayo Saka, Kieran Tierney na Maitland Niles kumemuweka Kolasinas kwenye wakati mgumu ingawa hutumiwa kwenye mechi muhimu pale inapohitaika kufunfa duka.

Kwa mshahara wake wa pauni 100,000 kwa wiki hakuna timu inaweza kumudu hivyo ataendelea kuwa mchezaji wa akiba.

Matteo Guendouzi- Arsenal walitaka kumuweka Guendouzi kwenye usajili wa Coutinho lakini Barcelona wamekataa. Hata hivyo PSG nao wameonyesha interest hivyo wanangojewa kuweka ofa.

Sokratis - Tayari yupo William Saliba

Lucas Torreira- Yupo nyuma ya Ceballos na Xhaka hivyo anataka kurudi Italy lakini kwa ofa ya maana Arsenal watakuwa tayari kusikiliza.

Mohamed Elneny - Anachezea timu ya besiktas kwa mkopo lakini timu hiyo kwa sasa ina matatizo ya kifedha. Arsenal itasikiliza ofa kutoka timu za Trabzonspor na Olympiacos.

Henrikh Mkhitaryan - Huyu analipwa 200,000 ka wiki na Arsenal akiwa Roma na atamalizia mkataba wake akiwa Roma.

Mesut Ozil- hakuna timu inamtaka Ozil kutokana na mshahara wake mkubwa na Arsenal wanafanya kila wawezalo ili aondoke ikiwemo mbinu ya kutompanga kwenye timu.

Lakini Ozil anamaliza mkataba wake mwakani.

Robert Holding

Calum Chambers-
Fulham wameonyesha nia ya kutaka kumsajili.
Mikhtaryan tayari alishaununua mkataba wake ,sio mchezaji tena wa Arsenal

Na jezi yake kachukua Saka
 
The Mirror say the Community Shield could see Liverpool & Arsenal field kids & fringe players. The clubs are reluctant to risk first team stars for the fixture, which is sandwiched between the return to pre-season training & start of an international break.
IMG_20200803_072537.jpg
 
Diego Carlos and Gabriel are Arsenal’s top priorities at centre-back. Malang Sarr is also on the radar as a free agent, but he has significant interest from Italy and Germany.

At least one top drawer centre-back will join the club this summer. #AFC
 
Diego Carlos and Gabriel are Arsenal’s top priorities at centre-back. Malang Sarr is also on the radar as a free agent, but he has significant interest from Italy and Germany.

At least one top drawer centre-back will join the club this summer. #AFC

Diego Carlos ni chaguo la Arteta mwenyewe.

Safi sana.
 
(4-3-3)

-MARTINEZ

-BELLE -SALIBA -LUIZ -TIERNEY

-CEBALLOS -PARTEY -XHAKA

-WILLIAN -AUBA - COUTINHO


SUB:
-Leno
-Pepe
-Lacazette
-Holding
-P. Mari
-Mustafi
-Maitland Niles
-Cedric
-Torreira
-Saka


Hivi kikosi kama hiki huyo mpinzani anatokea wapi?!

Yani hapo unaangalia mpira huku pembeni unashushia na kinywaji kabisa!
Leno ushamnyang'anya namba

Mimi napenda mbele waanze PEPE AUBA WILLIAN

Hapa utapata pace ya uhakika ,

Nyuma yao wawekee Coutinho , xhaka na Partey

Kazi imeisha
 
Leno ushamnyang'anya namba

Mimi napenda mbele waanze PEPE AUBA WILLIAN

Hapa utapata pace ya uhakika ,

Nyuma yao wawekee Coutinho , xhaka na Partey

Kazi imeisha
Kabisa kabisa, Coutinho anakuwa anacheza juu kidogo ya Xhaka na Partey..

Ngoja tuishie hapa, haya mambo mazuri hayahitaji haraka.

Waswahili wanasema usiipigie hesabu pesa usiyokuwa nayo! na sisi tunasema "Tuwangoje waje!"
 
Aubameyang anatarajiwa kupata zaidi ya pauni 300,000 kwa wiki pamoja na bonasi katika mkataba wake mpya uliopendekezwa.

Arsenal pia wapo tayari kumuuza Lacazette kwa vilabu vya Uhispania au Italia.

Pia Willian atapewa mkataba wa miaka mitatu, na Arsenal wana nia ya kumsaini Coutinho kwa mkopo.

the Times
 
Mourinho on Chelsea vs Arsenal:

Yes what where you thinking before? I saw it coming. Emirates return to Emirates having arsenal in FA Cup final if Emirates is the sponsor. Then forget about the Cup..

nimecheka kindezi sana kwamba Mourinho amenyanyua mikono
 
Aubameyang anatarajiwa kupata zaidi ya pauni 300,000 kwa wiki pamoja na bonasi katika mkataba wake mpya uliopendekezwa.

Arsenal pia wapo tayari kumuuza Lacazette kwa vilabu vya Uhispania au Italia.

Pia Willian atapewa mkataba wa miaka mitatu, na Arsenal wana nia ya kumsaini Coutinho kwa mkopo.

the Times
Hapa vile vitoto vikisia hii matumbo moto
 
Kwa mujibu wa David ornstein

Willian ni chaguo la Arteta na Edu

So, @David_Ornstein confirms that the pursuit of Willian is “very much being led by Arteta”, and that he’s specifically asked for the player to be signed.

Arsenal by far not offered the most lucrative contract but seem to be his preference due to Arteta & knowing Edu.
 
Back
Top Bottom