Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kwakweli hapana yule anapenda pesa... Hana cha kuipenda timu wala nini? Kwanini aliitia presha timu mpaka kuiingiza ktk bogus contract kama ile wakati timu ilikuwa ktk wakati mgumu wa kuondokewa na keyplayer wake Alexis Sanchez, kama anaipenda timu kwanini hakutulia kwanza kwa muda ule
Upo sahihi kabisa, na kwanini ofa zinakuja anazikataa anataka had mkataba wake uishe ndio asepe

Angekuwa analipwa 100k angebaki had sasa?
 
NEW: Sources familiar with matter have told @francefootball that talks between #AFC and Willian are ‘very well advanced’.
 
Ozil tumpeni Respect wakuu, No matter what jamaa kaonyesha mapenzi makubwa na Club ila Club imemkataa Nw.
Mkuu kwa ile contract ya £350,000/= kwa wiki ya miaka mitatu, lazima aoneshe mapenzi hata ya kinafki.

Kwa mshahara anaochukua tunaweza kupata wachezaji watano wa £70,000/= per week ambao wanaweza kudeliver zaidi yake. Jamaa hayuko commited kabisa, hana tofauti na tapeli anaye kuibia huku anatabasamu...

Hajawahi kuonesha thamani ya anacholipwa jambo ambalo linaweza kukatisha tamaa watoto wanao mtazama pale klabuni. Imagine Bukayo Saka kwa performance yake alikuwa analipwa £3,000/= kwa week kabla ya mkataba huu wa juzi.
 
Willian dili ya hovyo hii, kuja kwa Willian maana yake Auba anaingia kati na Lacca atakuwa bench warmer,Hatumhitaji huyu ni bora Joelson wa Lisbon ambaye very promising.
Willian anahitajika kwasababu ni pro ktk ligi, anaweza kuadd kitu kikubwa hawa watoto sio wa kuwaamini sana, tumekuwa nao kwa muda mrefu sana bila kuwa na mafanikio yoyote,
Yaani umkatae Willian kwa sababu ya AMN

Hawa watoto kina Wilock ndio wanaoturudisha nyuma
 
Kwakweli hapana yule anapenda pesa... Hana cha kuipenda timu wala nini? Kwanini aliitia presha timu mpaka kuiingiza ktk bogus contract kama ile wakati timu ilikuwa ktk wakati mgumu wa kuondokewa na keyplayer wake Alexis Sanchez, kama anaipenda timu kwanini hakutulia kwanza kwa muda ule
Hapo shida sio Ozil mkuu, bodi ndo ilishindwa kunegotiate sababu iliingiza emotions kwenye issue za biashara, na Hizi negotiations kwa asilimia kubwa Wenger alikuwa anahusika,Nakumbuka mzee alituma £92m kwa Thomas Lemar kisa Sanchez anataka kwenda City ilikuwa january window,Sasa swala ni kwamba Lemar alikuwa anaworth hiyo price tagged?
 
Hakimbii bench, anataka mkataba wa miaka mitatu,

Wao wanampa miwili

Arsenal wamemuofa mitatu na mshahara wa 120k per week
Willian hayupo kwny Project ya Lampard mkuu,Ni vile tu Chelsea wanaona km Ziyech akiflop Willian atasaidia, unless Willian ni new bench warmer pale
 
Mkuu kwa ile contract ya £350,000/= kwa wiki ya miaka mitatu, lazima aoneshe mapenzi hata ya kinafki.

Kwa mshahara anaochukua tunaweza kupata wachezaji watano wa £70,000/= per week ambao wanaweza kudeliver zaidi yake. Jamaa hayuko commited kabisa, hana tofauti na tapeli anaye kuibia huku anatabasamu...

Hajawahi kuonesha thamani ya anacholipwa jambo ambalo linaweza kukatisha tamaa watoto wanao mtazama pale klabuni. Imagine Bukayo Saka kwa performance yake alikuwa analipwa £3,000/= kwa week kabla ya mkataba huu wa juzi.
Ozil anakosewa heshima mkuu,tulikuwa na wachezaji wanaojituma km Fabregas, Nasri, Van persie,Adebayor,Song,Sagna lakini waliishia wapi?
Ozil alishakuwa peak hapo Arsenal inamhitaji kuliko,alikuwa anauwezo wa kufanya km hao wengine walivofanya ila aliamua kustay bila kuwa na hiyo 350k,

Afu kwa binafsi yangu naona sisi ndio tumemuua huyu jamaa kumchezesha na uozo wa kina Flimpong
 
Willian anahitajika kwasababu ni pro ktk ligi, anaweza kuadd kitu kikubwa hawa watoto sio wa kuwaamini sana, tumekuwa nao kwa muda mrefu sana bila kuwa na mafanikio yoyote,
Yaani umkatae Willian kwa sababu ya AMN

Hawa watoto kina Wilock ndio wanaoturudisha nyuma
Huyu mkuu anataka kuingia straight kwny kikosi,huyu sio wa kuja kukaa bench,Na sisi hatuna shida kwny eneo analocheza sana sana anakuja kuvuruga protocol tu.
Ukumbuke nje unawachezaji km Saka na Martinelli ambao wanahitaji game time zile za late second half kwenye hiyo nafasi.
 
Ozil anakosewa heshima mkuu,tulikuwa na wachezaji wanaojituma km Fabregas, Nasri, Van persie,Adebayor,Song,Sagna lakini waliishia wapi?
Ozil alishakuwa peak hapo Arsenal inamhitaji kuliko,alikuwa anauwezo wa kufanya km hao wengine walivofanya ila aliamua kustay bila kuwa na hiyo 350k,

Afu kwa binafsi yangu naona sisi ndio tumemuua huyu jamaa kumchezesha na uozo wa kina Flimpong
Daaah mkuu umenifanya nicheke hapo mwishoni ulipomtaja Flimpong, moja ya wachezaji wetu ambao hawakupaswa kuwepo hata reserve pamoja na mwenzake Yaya Sanogo
 
Ozil anakosewa heshima mkuu,tulikuwa na wachezaji wanaojituma km Fabregas, Nasri, Van persie,Adebayor,Song,Sagna lakini waliishia wapi?
Ozil alishakuwa peak hapo Arsenal inamhitaji kuliko,alikuwa anauwezo wa kufanya km hao wengine walivofanya ila aliamua kustay bila kuwa na hiyo 350k,

Afu kwa binafsi yangu naona sisi ndio tumemuua huyu jamaa kumchezesha na uozo wa kina Flimpong
dah umenikumbusha Emanuel Frimpong..

Kimsingi Ozil hakuivumilia club bali alikuwa anasubiri contract iishe aondoke for free, ndio maana alikataa kusign contract kipind hicho wako ye na Sanchez. Baada ya mwenzie kugoma completely ndio ikabidi club ijitoe muhanga kumpa huo mshahara aliotaka ili tusipoteze two key players.

Niliskia situation ilikuwa huo mshahara apewe Sanchez abaki then swap deal ingefanyika ikihusisha Ozil na Mikki (kumbuka Mou ni fan mkubwa wa Ozil) iliposhindikana ndio ikabidi aende Sanchez tusikose vyote.

Na hayo yalikuwa ni makubaliano yao (Sanchez na Ozil) wapewe salary ya £350k per week kila mmoja jambo walilojua litashindikana ili waje waondoke bure wote, ndio maana wote wanakula hiyo £350k kwa hiyo malengo yao yalitimia.
 
dah umenikumbusha Emanuel Frimpong..

Kimsingi Ozil hakuivumilia club bali alikuwa anasubiri contract iishe aondoke for free, ndio maana alikataa kusign contract kipind hicho wako ye na Sanchez. Baada ya mwenzie kugoma completely ndio ikabidi club ijitoe muhanga kumpa huo mshahara aliotaka ili tusipoteze two key players.

Niliskia situation ilikuwa huo mshahara apewe Sanchez abaki then swap deal ingefanyika ikihusisha Ozil na Mikki (kumbuka Mou ni fan mkubwa wa Ozil) iliposhindikana ndio ikabidi aende Sanchez tusikose vyote.

Na hayo yalikuwa ni makubaliano yao (Sanchez na Ozil) wapewe salary ya £350k per week kila mmoja jambo walilojua litashindikana ili waje waondoke bure wote, ndio maana wote wanakula hiyo £350k kwa hiyo malengo yao yalitimia.
Kama walikuwa wanafanya ujasusi huo basi hafai, lkn mimi naona Sanchez alionesha wazi kuwa hataki kuendelea kuliko Ozil
 
Kama walikuwa wanafanya ujasusi huo basi hafai, lkn mimi naona Sanchez alionesha wazi kuwa hataki kuendelea kuliko Ozil
Sanchez alikuwa wazi hata uwanjani alikuwa anaonesha kwa wenzie pale wanapokosea au timu inapofanya vibaya, ilikuwa ni nidhamu mbovu sana hata me sikupenda abaki pamoja na umuhimu wake kwetu kipindi kile.

Kwa upande wa Ozil, yule jamaa ni snitch wa kichini chini. Hawa watu wanao tawaliwaga na wanawake ndio wako hivyo, kumbuka hata Tevez alivokuwa anazingua kila anapoenda, mara mwanamke haupendi mji, mara amegoma kumfata jamaa hivyo Tevez kila siku yuko angani kufata demu wake haudhurii training bas tabu tupu. Mauro Icardi pia na mke wake ambaye pia ni agent wake Wanda Nara tabu ni hizo hizo hadi anaharibu career ya Icardi kwa kuwa vilabu vinamkwepa mkewe.
 
PICHA LILIANZIA HAPA

Kwa mara nyingine Willian amekataa ofa mpya kutoka kwa klabu yake ya Chelsea ya kuongeza mkataba mpya utakaomfanya aendelee kusalia klabuni hapo hadi mwaka 2022
.
Kwasasa Arsenal na nyota huyo ndiyo waliopo kwenye mazungumzo (Fabrizio Romano)
IMG-20200803-WA0009.jpg
 
Mkuu hili saga nililifuatilia kwa makini sana, Ozil alitufanyia unyambilisi wa hatari, nilidhani baada ya kupewa ule mshahara angekaza, lakini ikawa differ
Mzee Wenger alikuwa ni zaidi ya kocha, alikuwa kama baba otherwise kwa situation ya Ozil hakupaswa kuendelea kuwepo. Ndio maana Unai walishindwana mapema sana.

Nadhani huyu mzee kwa jinsi alivokuwa akiwalea vijana pale ndio maana walioondoka kwa nyodo wote walipotea kwenye ulimwengu wa soka mazima.
 
Beyond the signing of Willian, Kia Joorabchian is also trying to push through a deal that would see Philippe Coutinho join Arsenal on loan.

Arteta is desperate to land a competent playmaker and believes Coutinho is an ideal solution. Player very keen on a return to England. #AFC
IMG_20200803_154031.jpg
 
Hizi deal zikiwa successful, msimu ujao pamoja na kuwa ni msimu wa kujenga team ila hawa majirani wa London (Chelsick na Spurs) na Mwanitesa utd watachezea spana za kutosha home and away. Atayejitutumua ataokota sare ila naye atalala na viatu.

Hawa Liver na City tutaenda nao kwa tahadhari, lakini nao habari yetu so far wanayo ile fear factor dhidi yao imepungua sana.
Baada ya willian anafata coutinho na Partey

Auba ataongeza mkataba wa miaka mitatu

Mwisho tutamaliza na CB mmoja


Tutafunga usajiri

Itabaki kuuza
 
BREAKING NEWS

Arsenal inatarajia kumtangaza Willian ndani ya siku chache zijazo

Man City na Man United walifanya mawasiliano lakini mkataba wa Arsenal ni mrefu zaidi na wenye maslahi zaidi .

Habari kamili



https://t.co/wOpCXEpY5g
IMG_20200803_154031.jpg
 
Ozil tumpeni Respect wakuu, No matter what jamaa kaonyesha mapenzi makubwa na Club ila Club imemkataa Nw.
Özil ni Arsenal Fan ni mtu anayefanya kazi ya nyumbani kwa moyo, japo akikosea watu humjia juu. Same kwa Xhaka, Shkodrani, Bellerin, Kolašinac, Chambers kwa namna Arsenal na Supporters wanavyo-treat hawa watu wangelikuwa wameondoka lakini wamebaki sababu ya loyalty na solidarity.
 
Back
Top Bottom