BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
Yaaani ukilipa kingilio chako kwa mechi ya arsenal unaondoka umeburudika.
Halina ubishi hilo Mkuu.
Yaaani ukilipa kingilio chako kwa mechi ya arsenal unaondoka umeburudika.
Hili nalo muhimu kwa sababu jinsi ligi inavoenda inawezekana mshindi akapatikana kwa goal differences.The most important is tume-keep a clean sheet. That's an improvement.
Safi sana point 3 muhimu sasa tuendeleze ushindi jumatano tutakapokutana na man city.i hope wenger hatofanya mabadiriko ya ajabu.
Kunywa hata bia tu mkuu, mbona sisi kushinda kawaida kabisa? So far tumeshinda mechi 12 katika mechi 20.Mmeshinda leo basi wiki nzima hatunywi maji huku jamvini mwa spoti. Mijitu nyie mnaongeaaaaa, agrrrrrrrrr!
Mmeshinda leo basi wiki nzima hatunywi maji huku jamvini mwa spoti. Mijitu nyie mnaongeaaaaa, agrrrrrrrrr!
Mmeshinda leo basi wiki nzima hatunywi maji huku jamvini mwa spoti. Mijitu nyie mnaongeaaaaa, agrrrrrrrrr!
Mmeshinda leo basi wiki nzima hatunywi maji huku jamvini mwa spoti. Mijitu nyie mnaongeaaaaa, agrrrrrrrrr!
...........Only poor finishing and a couple of fine saves from Ben Foster kept the scoreline respectable......... .........
Football365 | Premier League | Birmingham City News | Birmingham 0 Arsenal 3
Apo sasa. Just imagine ndo tungekuwa manure, basi ingekuwa talk of the weekend kwa ma pundits wa Sky sports na BBC kuwa tunapendelewa.
Justice was served tulivyonyimwa penalty na sie ama ukuona?Wacha donge wewe refa kawabeba na kubania penalty ya kwanza lakini ya pili imebidi atoe tu, mtabebwa mpaka lini wakati hambebeki? Manure mpira kwishnei Roooney limping baada ya kibabu kumaliza sub zake ilibidi arudi uwanjani just kuonyesha how desperate you are?
</p>Justice was served tulivyonyimwa penalty na sie ama ukuona? </p>
<p>Waungwana wote wa jukwa hiili happy new yeat.
Arsenal ni klabu ya watu wastaarabu sana, hawana choyo ya shukrani kwa wapinzani wao kama vile Man U na Chelsea..watu kama akina BAK, AW, Mbu, Mokoyo etc etcToa basi hata pongezi! kwa ushindi wetu wa leo. Siye huwa wepesi sana kuwapongeza lakini nyie mhhhhhhh!
Hii timu disipilini zero kabisa, mara Tevez kagombana na Meneja, mara Yaya, leo mara Kolo yaani utasema labda ni timu ya Sunday pub. Mechi bado wao wameanza kukunjana mashati, nahisi safari ya kurudi Manchester kesho baada ya kichapo itakuwa veere intarestingi.