Kweli
JF-Expert Member
- Jul 14, 2007
- 1,152
- 304
Joe Hart and Mr.Post wanashare man of the match so farHivi kuna timu inakosa(ga) magoli kama Arsenal?, dont think so.....
Joe Hart and Mr.Post wanashare man of the match so farHivi kuna timu inakosa(ga) magoli kama Arsenal?, dont think so.....
Hivi kuna timu inakosa(ga) magoli kama Arsenal?, dont think so.....
Mkubwa mii naona 2nd half tutawanyuka tu japo bao 2, tulikwenda na gea ya tano city walikuwa wanafukuza kivuli aisee, kama tutaendelea na same tempo ya kipindi cha kwanza nina hakika tutashinda.nomaaaaaaaaaa sana tulitakiwa tuwe na goli moja tayari atleast ingetusaidia sana kipindi cha pili.
mancini kipindi cha pili akimleta adam johnson dogo atatusumbua sana na pace yake.
almunia .Hivi Kuna mchezaji yeyote anaondoka january hii ?
Mkubwa mii naona 2nd half tutawanyuka tu japo bao 2, tulikwenda na gea ya tano city walikuwa wanafukuza kivuli aisee, kama tutaendelea na same tempo ya kipindi cha kwanza nina hakika tutashinda.
pengine Almunia na Bendtner bado hakuna habari za kuthibitisha.wana arsenal naona tumechesza vizuri 1st half
Hivi Kuna mchezaji yeyote anaondoka january hii ?
Hawa citeh mnawachelewesha mtakuja kujuta... Maana naona mnataka gonga mpaka nyavuni.
nomaaaaaaa sana.city wamepata nguvu sasa ,tumeshindwa kutumia nafasi zetu wakuuu.