BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
Hehe refa kawabeba au hajawabeba? I say soft award.
Haya kaka tumebebwa!
Hehe refa kawabeba au hajawabeba? I say soft award.
Mbona Van Persie anadaka mpira ndani ya Arsenal box lakini refa hatoi penalty?!! Arsenal wanabebwa?!
Mbona Van Persie anadaka mpira ndani ya Arsenal box lakini refa hatoi penalty?!! Arsenal wanabebwa?!
ndio mpira huo mkuu leo kwako kesho kwa mwenzio.ukiona mtu analia lia na refa ndio ushabiki huo baada ya kukosa ulichokitaka si unajua hata makocha nao wanatabia hio sio mashabiki peke yao.
hatuna zaidi ya kulia lia fifa hawataki technology kwenye mchezo wao lol.
ndio mpira huo mkuu leo kwako kesho kwa mwenzio.ukiona mtu analia lia na refa ndio ushabiki huo baada ya kukosa ulichokitaka si unajua hata makocha nao wanatabia hio sio mashabiki peke yao.
hatuna zaidi ya kulia lia fifa hawataki technology kwenye mchezo wao lol.
Apo sasa. Just imagine ndo tungekuwa manure, basi ingekuwa talk of the weekend kwa ma pundits wa Sky sports na BBC kuwa tunapendelewa.Hehe refa kawabeba au hajawabeba? I say soft award.
Nasriiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii safi sana la tatu sasa tufunge biashara.
Ha ha ha ha ha wapinzani kweli wana enjoy kuangalia mpira wa arsenal.