Man Utd&Chelsea wamefunga magoli mengi kuliko Arsenal msimu huu, na moja kati ya sifa ya timu inayopaki bus, huwa hafungi magoli mengi
Kwenye ligi United ana goal differences 28, Chelsea ana 15 na Arsenal ana 8
Mwisho naomba ni attach conv. yenu kuhusu uchezaji wenu
View attachment 1510812View attachment 1510813