Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Naona timu za leo zimeingia na mfumo wa jana wa Arsenal (3-4-3)


Kweli Arsenal ni mfano wa kuigwa!
Sio arsenal ndo imeiga huo mfumo kuifunga city?? Kaangalie mechi zote za msimu huu (ambazo Man Utd alishinda dhidi ya Man City)....Hapo majibu utakuwa nayo kuwa mliiga mfumo kuwafunga city
 
Castr, ushindi wa Arsenal ni wa bahati...kinyume cha bahati ni mipango

Unless uniambie plan yenu ilikuwa ni kupata bahati
Sawa sawa na waona hapa mnavyo hangaika kuzichomoa mbili za Chelsea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…