Iwe bahati Iwe ni I suala tulishaingia final na waliopo hawanitishi Sina Habari,Tumebebwa na bahati.
Kama unataka kujua kuhusu bahati basi ni leo. Mustafi alitoa boko la wazi.
Angalia hii Man City kapiga shots 16 na ni 1 tu on target. Arsenal kapiga 4 yote on target na magoli 2. Kama siyo bahati ni nini?
Pepe alikua shit, angeweza kuscore ila mvivu.
We are doing fine.
Yeyote atayekuja, kwani Hao Chelsea na City yupi unaona mkali?Kwa timu yetu ilivyocheza leo kiukweli ni heri tukutane na Man U siyo Chelsea
Mkuu mbona una underestimate uwezo wa Arsenal kwa sasa?, juzi tumewafunga Liverpool kwa bahati na leo tumewafunga Mancity kwa bahati pia?Tumebebwa na bahati.
Kama unataka kujua kuhusu bahati basi ni leo. Mustafi alitoa boko la wazi.
Angalia hii Man City kapiga shots 16 na ni 1 tu on target. Arsenal kapiga 4 yote on target na magoli 2. Kama siyo bahati ni nini?
Pepe alikua shit, angeweza kuscore ila mvivu.
We are doing fine.
Nenda zako huko we falaHii mechi arsenal hawana finishing nzuri Kama wakitulia kule mbele ushindi lazima chengine aubameyang ana delay kutoa pass hii mechi City wameoza cjui wamerogwa![]()
Chief furaha imekuzidiaYeyote atayekuja, kwani Hao Chelsea na City yupi unaona mkali?
Hakuna bahati hapo ndugu ,ni tactical tuTumebebwa na bahati.
Kama unataka kujua kuhusu bahati basi ni leo. Mustafi alitoa boko la wazi.
Angalia hii Man City kapiga shots 16 na ni 1 tu on target. Arsenal kapiga 4 yote on target na magoli 2. Kama siyo bahati ni nini?
Pepe alikua shit, angeweza kuscore ila mvivu.
We are doing fine.
Namshangaa Sana huyo jamaa, watu wanashinda kwa game plan, Sasa yeye azidi kuomba bahatj hivyo hivyo unafikiri Arteta angesema na yeye afhnguke hiyo bahatj anayoizhngumzia hapa angeisema? Comment nyingine unaziangalia tu then unapita shaaaaaaahMkuu mbona una underestimate uwezo wa Arsenal kwa sasa?, juzi tumewafunga Liverpool kwa bahati na leo tumewafunga Mancity kwa bahati pia?
Uoga tu , Tumecheza hivo sababu city na liver wanatuzid QualityKwa timu yetu ilivyocheza leo kiukweli ni heri tukutane na Man U siyo Chelsea
Mmeanza tena!, mbona hamtaki kukukubali Arsenal ime-improve baadhi ya maeneo?Beating Liverpool and Man city in 3 days May be these 3 days are the only light for Arsenal fans in these year![]()
Jamaa nimemshangaa sana huwez kufunguka kwa Liverpool na city ukaponaNamshangaa Sana huyo jamaa, watu wanashinda kwa game plan, Sasa yeye azidi kuomba bahatj hivyo hivyo unafikiri Arteta angesema na yeye afhnguke hiyo bahatj anayoizhngumzia hapa angeisema? Comment nyingine unaziangalia tu then unapita shaaaaaaah
Final timu uende ikasimame tu isubiri bahati aje kushinda😂😂😂😂😂Hakuna bahati hapo ndugu ,ni tactical tu
Arteta alishasema city na Liverpool wametuzid Quality. Hivo hatuwez kucheza nao Pass
Uliona kwa Spurz tulimpigia pass na possession 80 kwa 20