Unajibinya mwenyew mkuu, Hakuna anayeendekeza utimu, tungeendekeza utimu tungesema Arsenal ni bora kuliko Liver na City ila kwa sasa hivi ukweli ulivyo ubora wa wachezaji wetu huezi fananisha na Hao wenzetu wametuzidi pakubwa.Wazee mimi nashabikia mpira as a whole, sibinywi na kua shabiki wa Arsenal.
Kuna vitu vingi hua watu wanavibypass simply kwakua utimu umewashika. Kuna member mmoja alikua anaponda formation ya 3 4 1 2 na nikawa namuambia kwanini tumeresort kwenye hiyo.
Leo Arteta anatumia hiyo hiyo na anaipigia debe kwa nguvu zote. Mara zote mimi hujaribu kuona zaidi ya ushabiki.
Kama ni mbinu ile mechi na Liva bila Virgil kupiga back pass tuliku na plan nyingine? Uliweza kuhisi kama kuna plan pale?
Anyway kila mtu yuko entitled na mawazo yake
Kafie mbele hukoCity watabadilika 2nd half msipochange meza inageuka![]()
Mpira ni tactics mkuu, hatuwezi kucheza kwa namna moja kila mechi tukategemea ushindi. Game plan inategemea na timu pinzani ilivyo, hivyo hubadilika.Nikiwa naijaj Arseanl hua naifananisha na Arsenal ambayo Granit alikua ni mpiga pasi nyingi kuliko mchezaji yeyote premier league.
Arsenal iliyokua inamiliki mpira na kufunguka.
Game ya Liva tulishinda ila Liva alimiliki mpira kwa 80% leo tumeshinda ila tumechezeshwa mno nusu uwanja.
Kwahiyo nikisema ushindi wetu ni wa bahati ni kwa mazingira hayo
Mkuu kwenye mpira hakunaga bahati kabisa. Ukishinda ni umeshinda na ukifungwa umefungwa hizo mistakes unazosema ni sehemu ya mchezo. Ndio maana kuna msemo wa mpira ni mchezo wa makosa. Mistakes mlizofanya wao wameshindwa kuzitumia na pia kile mlichokipata leo mmekihangaikia hamjabahatisha.Tumebebwa na bahati.
Kama unataka kujua kuhusu bahati basi ni leo. Mustafi alitoa boko la wazi.
Angalia hii Man City kapiga shots 16 na ni 1 tu on target. Arsenal kapiga 4 yote on target na magoli 2. Kama siyo bahati ni nini?
Pepe alikua shit, angeweza kuscore ila mvivu.
We are doing fine.
Ila we jamaa bwana.Jamaa nimeshangaa sana
Arteta anakwambia hatuna Quality ,sasa unafungukaje kwa city na Liverpool?
Awe honest ,Arteta anacheza mipira yote , Spurz ,huyu tumpempeleka possession 70+
Chelsea ,emirates tulimpeleka sana tu, game ya pili tukawa pungufu na hakushinda
Leo city tumpepigia pass 19 had goli ,anasema tumeotea View attachment 1510621
Tulimis haya mambo mzee, mapicbapicha na vile vicheko, watu walikuwa wanaliona chungu hili jukwaa kheeeeeeeee kheeeeeeeee kheeeeeeeee kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeView attachment 1510619
View attachment 1510620
View attachment 1510622
View attachment 1510623
View attachment 1510624
View attachment 1510625
View attachment 1510626
View attachment 1510627
View attachment 1510628
Pepsi leo hata mpira alikuwa haangalii.
Safi sana naona Covid-19 imebadili mambo .... ..
A lot of credit for the win today should go to AMN. It was a very technical call by Arteta and it paid offThere have been so many impressive perfromances from the Arsenal players.
Yes, Aubameyang got the goals but they have defended brilliantly.
I've never seen Granit Xhaka play like this for Arsenal. Tierney, what a signing he has been
Mdau anataka ule mpira wa kufunguka mposses sana yaani.Unajkbinya mwenyew mkuu, Haku a anayeendekeza utimu, tungeendekeza utimu tungesema Arsenal ni bora kulikk Liver na City ila kwa sasa hivi ukweli ulivyo ubora wa wachezaji wetu huezi fans Isha na Hao wenzetu wametuzidi pakubwa.
Hivi hawa viungo wetu yupi anawez a kuanzia pale City? Kwa kulitambua Hilo lazim a uwe na plan ya ushindi, ondoa suala LA bahati hapo Ile ni vita.
I don't agree with you bro.Tumebebwa na bahati.
Kama unataka kujua kuhusu bahati basi ni leo. Mustafi alitoa boko la wazi.
Angalia hii Man City kapiga shots 16 na ni 1 tu on target. Arsenal kapiga 4 yote on target na magoli 2. Kama siyo bahati ni nini?
Pepe alikua shit, angeweza kuscore ila mvivu.
We are doing fine.
Mkuu tuombe tushinde mechi na nyumbu ili tukachukue kwa urahisi.Hawa wameelekea machinjioni wenyewe watajuta kwenda huko
Ila we jamaa bwana.
City katushambulia.
Kapiga shots.
Mustafi katoa boko.
Bellerini katoa boko.
VAR imetuachia (nimeshangaa)
Martinez kaokoa shot pekee on target ya Mahrez ambayo ilionyesha ingekua goli.
Sterling, Silva, Laporte, Foden, Debruyne, Mendy, wote hawa mashuti yao ama yalipaa au yalimgonga mtu yakatoka nje.
Unataka bahati gani zaidi ya hii?
Wakati hayo yanatokea ulikua unafumba macho?
Wewe una shida si Bure,
Unaongea as if wewe pekee ndio unamiliki TV😂😂😂😂😂Kwahiyo hujaona Mustafi kama alicheza Moira? Au unafikiri kila linaloangaliwa na VAR basi ni kosa? Kama ni kutoa maboko kwani City wao hawajatoa maboko?
Mukilewa musiwe mnaingia JF
Anazingua huyoI don't agree with you bro.
I think techniques za Arteta na bench lake la ufundi ndio vimefanya kazi .
Comment yako kuhusu Guendouzi ntaijibu
Sasa Chelsea kwa quality ya wachezaji mmjammoja utalinganisha na Arsenal kwa sasa? Tukiacha mambo ya ushabiki kando?Chelsea
Hakika.Narudia tena Nadhan mmeelewa why Niles alianza
Arteta mech na Wolves ,baada ya Adama kusumbua sana aligundua anahitajika mtu mwenye mguu wa kulia ,na alipoingia Niles ukawa mwisho wa Adama kutusumbua
Leo Mahrez vile vile kapoteana
Foden akahama upande
Wengi walishangaa why anamuacha nje kola na Saka ambao hizo ndio nafas zao
Wewe una shida si Bure,Ila we jamaa bwana.
City katushambulia.
Kapiga shots.
Mustafi katoa boko.
Bellerini katoa boko.
VAR imetuachia (nimeshangaa)
Martinez kaokoa shot pekee on target ya Mahrez ambayo ilionyesha ingekua goli.
Sterling, Silva, Laporte, Foden, Debruyne, Mendy, wote hawa mashuti yao ama yalipaa au yalimgonga mtu yakatoka nje.
Unataka bahati gani zaidi ya hii?
Wakati hayo yanatokea ulikua unafumba macho?
Amsikilize Carrager hapa labda atamuelewa ,maana kina sisi hatuelewiAnazingua huyo