Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 21,198
- 37,526
Heshima kwako Wacha1
Mkuu habari za mida tangu upate kichapo sikuoni umejificha wapi ohoo anyway hayo yamekwisha tugange yajayo sijui kama utajisiaje kwasababu habari nitakazokupa si nzuri ni sawa na kukupa habari za msiba wa mtu wako wa karibu.Mkuu watoto wa Mzee Wenger watakutana na watandaza mpira wa ukweli Barcelona wenye mafanikio ya kutisha kama uamini muulize msema hovyo Jose atakwambia mwisho wenu ligi ya mabingwa ulaya umetangazwa rasmi leo.
Nawashauri Arsenal wekeni nguvu zenu Carling Cup,ubingwa wa Uk na ubingwa wa ulaya sahauni kabisa.
Mkuu habari za mida tangu upate kichapo sikuoni umejificha wapi ohoo anyway hayo yamekwisha tugange yajayo sijui kama utajisiaje kwasababu habari nitakazokupa si nzuri ni sawa na kukupa habari za msiba wa mtu wako wa karibu.Mkuu watoto wa Mzee Wenger watakutana na watandaza mpira wa ukweli Barcelona wenye mafanikio ya kutisha kama uamini muulize msema hovyo Jose atakwambia mwisho wenu ligi ya mabingwa ulaya umetangazwa rasmi leo.
Nawashauri Arsenal wekeni nguvu zenu Carling Cup,ubingwa wa Uk na ubingwa wa ulaya sahauni kabisa.