Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

The only pride of London anawasalimia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Narudia tena.
Screenshot_20191227-015557_1577551181761.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani ndidi aachane na Leicester ambao wako moto wanasubiri walau liver ajikwae matches kadhaa. aje arsenal ambayo inataka kushuka daraja? Hayo yatakuwa ni matope aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
Aise nitamshanga Ndidi ..apo nitaamini blacks tuna tatizo kubwa kwenye upande wa kufikiri...

Unajua bado wachezaji na sisi mashabiki tuna mentality kwamba timu Flani ni kubwa na ingine ni ndogo..

#CFC

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu next game unaionaje dhidi ya Manchester United?Mimi nasema tukipona tutafungwa 2 au 3 sababu Manchester United watakaa nyuma na kufanya counter attack Mwaka huu mpaka bodi akili zitarudi na kukaa sawa Manina kabisa kama Arteta hii mechi kaishindwa ya Man u asijisumbie tutakula kipigo takatifu hvyo tujiandae kwa kipigo na kuwa nafasi ya 15

Sent using Jamii Forums mobile app
Game yenu na Man u tuko pamoja lazima mushinde mkuu..

Kila la kheri Arsenal...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aise nitamshanga Ndidi ..apo nitaamini blacks tuna tatizo kubwa kwenye upande wa kufikiri...

Unajua bado wachezaji na sisi mashabiki tuna mentality kwamba timu Flani ni kubwa na ingine ni ndogo..

#CFC

Sent using Jamii Forums mobile app
we ni tatizo...jukwaa lenu ulipotea wiki nzima baada ya kubuluzwa mfululizo. mechi ya jana tu baada ya kupewa msaada na referee unaleta utumbo wako kwenye jukwaa hili...na kuongea pumba na mashudu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
we ni tatizo...jukwaa lenu ulipotea wiki nzima baada ya kubuluzwa mfululizo. mechi ya jana tu baada ya kupewa msaada na referee unaleta utumbo wako kwenye jukwaa hili...na kuongea pumba na mashudu

Sent using Jamii Forums mobile app
kuwa mpoleee

We're Chelsea now ..karibu kwenye familia ya ushindi mfululizo ..kwa nin upate tabu?

#CFC

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi naongea ukweli wewe unaweka ushabiki hapo ndo tatizo ila Mimi nachosema kama upo tayari kushabikia Arsenal vs Blackpool next season sawa ila kwa shabiki kama Mimi sitaweza lazima viongozi waje na wazo mbadala ambalo hata sisi tunaweza tusiwe tunalifikiria sababu 6 matches (3 matches home 3 loss)na (3 matches away 3 draws)ni dalili ya kushuka daraja ndo maana tunaongea live bila chenga na hata kama hawatuskii tutaenda kwenye pages zao kuwaambia ukweli nani aanze kuangalia game za championship humu mara Arsenal vs QPR mara Arsenal vs Charlton halafu unajua Mashabiki wanaamini eti Arsenal haiwez shuka Daraja ni kujipa moyo wa kijinga Mpira sio siasa ni akili na technique basi

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa wewe ni shabiki wa timu au shabiki wa nini mkuu????

Hivi mtoto wako akifeli shule utamchinja au utamfukuza nyumbani?????

Hivi unafikiri hizo timu za Championship hazina mashabiki????

Nottingham Forrest ilibeba UCL na mashabiki wake na ikashuka daraja na mashabiki wake na mpaka leo ina mashabiki wake...

Sasa wewe unahofia kushuka daraja??

Shabiki wa kweli anaenda na hali halisi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom