Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

timu nzima ya arsenal mchezaji w maan kidg ni mmja tu AUBA ,wengine wote ni wakuuza ama kutokea sub so kwa budget y arsenal n kocha alie kwa sasa ,inahitajika si chini y misimu mitatu irudi arsenal ile tunayoijua.. kwa shbiki anaejua soka inatka nini haezi kuwa bothered sna kwa form y sasa.
 
timu nzima ya arsenal mchezaji w maan kidg ni mmja tu AUBA ,wengine wote ni wakuuza ama kutokea sub so kwa budget y arsenal n kocha alie kwa sasa ,inahitajika si chini y misimu mitatu irudi arsenal ile tunayoijua.. kwa shbiki anaejua soka inatka nini haezi kuwa bothered sna kwa form y sasa.
Auba na pepe basi pepe amejiunga Arsenal yanye mapungufu kila sehemu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
WOLVES KWA SASA NI TIMU KUBWA KULIKO TIMU YETU YA ARSENAL

Sent using Jamii Forums mobile app
kwa huo "u-sasa" wolves ina vikombe vingapi?
wolves imeshuka daraja mara ngapi?
wolves ina thamani ya shingapi?
wolves wana sponsors wa ngapi?
wolves wanabajeti ya shingapi? kwenye usajili na uwendeshaji wa club!

Unaongea tu bila kufikiria vizuri!

Sema wolves wapo kwenye kiwango kizuri kuliko arsenal! KWA KIPINDI HIKI, sio kusema wolves ni timu kubwa kuliko Arsenal, Bro acha miemko unajua maana ya ilo neno "KUBWA".

umetumia vigezo gani kuthaminisha wolves na arsenal, bro wacha miemko mdundo.

Unajua arsenal na wolves ina wafuasi wa ngapi?, mpaka sasa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu next game unaionaje dhidi ya Manchester United?Mimi nasema tukipona tutafungwa 2 au 3 sababu Manchester United watakaa nyuma na kufanya counter attack Mwaka huu mpaka bodi akili zitarudi na kukaa sawa Manina kabisa kama Arteta hii mechi kaishindwa ya Man u asijisumbie tutakula kipigo takatifu hvyo tujiandae kwa kipigo na kuwa nafasi ya 15

Sent using Jamii Forums mobile app
hivi arsenal ina injury ngapi? kabla ya mechi ya chelsea...mbona ufikirii bro!

chelsea halikuwa hana sababu za maana kufungwa hii mechi, kwa sababu alikuwa amekamilika karibia maeneo yote.

kwa arsenal ya sasa yenye majeruii wengi, ilikuwa 50 kwa 50 na kushinda au ku-draw kwetu ilikuwa inapewa nguvu kwa sababu tulikuwa nyumbani! wala sio head to head history.

jaribu kuwaza basi kidogo ndo ukomenti afu punguza hasira na miemko.

hii ni soccer, relax

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maneno ya mkosaji? Huko nyuma sisi tulishacheza matches ngumu kadhaa tukiwa na injury za wachezaji muhimu wa 1st eleven kama Kante na Rudiger na tukashinda.
hivi arsenal ina injury ngapi? kabla ya mechi ya chelsea...mbona ufikirii bro!

chelsea halikuwa hana sababu za maana kufungwa hii mechi, kwa sababu alikuwa amekamilika karibia maeneo yote.

kwa arsenal ya sasa yenye majeruii wengi, ilikuwa 50 kwa 50 na kushinda au ku-draw kwetu ilikuwa inapewa nguvu kwa sababu tulikuwa nyumbani! wala sio head to head history.

jaribu kuwaza basi kidogo ndo ukomenti afu punguza hasira na miemko.

hii ni soccer, relax

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Luiz alicheza mpira,kama ile ya Tammy ulitaka iwe tuta basi na ile ya Lacca nayo ingekuwa tuta...
Yote ya yote sisi tulipoteza game so tunajipanga na game ijayo.....


Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Dully Yale manyumbu lazima tuyale nyama ..hatuwezi kupigwa Mara mbili sisi ..tena mbele ya Arteta!!! Nooo ..zile mama united apo jtano tunaliza ...

Kila la kheri Arsenal..

#CFC

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huna aibu???
Au hujui maana ya neno MFULULIZO???
juzi umechabangwa 2 kwa buyu na Soton,
Majuzi umekula kichapo na bournmouth....then ukashikishwa uwambaza za Everton chuma 3 leo unakuja hapa unasema mnashinda mfululizo aiseeeeeh

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo tumeanza sasa ni mwendo wa kutoa vipigo hadi mwezi wa tatu au nne uko ndo tunaeza bahatishwa ata gemu moja..

Karib sana Chelsea mkuu ..bila sisi hakuna London, sisi ndo tunaowakilisha na kuikuza London kimataifa ..emagine Chelsea ingekuwa mji mwingine nje ya London, hiv unadhani pangekuwaje? Spurs, Arsenal na timu zingine zina/zimeshindwa kuleta makombe makubwa makubwa apo London ..ila sis ndo tumeweza... London is proud of us ...Without Chelsea London is nothing ...

We're King of London.

#CFC

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwa huo "u-sasa" wolves ina vikombe vingapi?
wolves imeshuka daraja mara ngapi?
wolves ina thamani ya shingapi?
wolves wana sponsors wa ngapi?
wolves wanabajeti ya shingapi? kwenye usajili na uwendeshaji wa club!

Unaongea tu bila kufikiria vizuri!

Sema wolves wapo kwenye kiwango kizuri kuliko arsenal! KWA KIPINDI HIKI, sio kusema wolves ni timu kubwa kuliko Arsenal, Bro acha miemko unajua maana ya ilo neno "KUBWA".

umetumia vigezo gani kuthaminisha wolves na arsenal, bro wacha miemko mdundo.

Unajua arsenal na wolves ina wafuasi wa ngapi?, mpaka sasa!

Sent using Jamii Forums mobile app
Ishu sio makombe kama ni hvyo ASTON VILLA ni kubwa kuliko sisi sababu kombe kubwa ni champions league Arsenal sasa ikipangwa na timu yoyote wanafurahi ila ukiambiwa WOLVES umepangwa nayo hulali kama WOLVES anagombania top 4 na sisi tunaelekea kushuka Daraja ndo maana nkahitimisha WOLVES ni kubwa kuliko sisi Arsenal kwa sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hivi arsenal ina injury ngapi? kabla ya mechi ya chelsea...mbona ufikirii bro!

chelsea halikuwa hana sababu za maana kufungwa hii mechi, kwa sababu alikuwa amekamilika karibia maeneo yote.

kwa arsenal ya sasa yenye majeruii wengi, ilikuwa 50 kwa 50 na kushinda au ku-draw kwetu ilikuwa inapewa nguvu kwa sababu tulikuwa nyumbani! wala sio head to head history.

jaribu kuwaza basi kidogo ndo ukomenti afu punguza hasira na miemko.

hii ni soccer, relax

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hyo tukipata injury ina maana tusiangalie Mpira ndo unachomaanisha sababu uwezo wa kushinda hatuna?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo game tunawasupport Arsenal kwa asilimia zote, mnyakue point 3 muhimu. Ikiwezekana tutawaazima baadhi ya wachezaji kama Kante, Rudger, Willan, mmalize biashara mapema

Sent using Jamii Forums mobile app
I wish Arsenal ashinde ils sioni huo ushindi. Kuidhamini Atsenal ni sawa na kumdhamini drug user aache kutumia hata kabla hajaenda rehab.

Arsenal itabaki kuwa Arsenal.
Screenshot_20191216-201829_1576517130495.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kesho kazi itaanza rasmi

Na wenye bahari mbaya ni manyumbu lazima wakae

#COYG

Mkuu Aaron kaibiwa simu? majukum yamembana? au yuko katika hali gani alie karibu nae atupe taarifa maana tunasubiri mwongozo wa hali ya mazoezini uko
 
Arsenal are considering bringing William Saliba back from his loan at St Etienne to help cure Mikel Arteta’s defensive woes. (Mirror) #afc
IMG_20191231_074632.jpeg



Sent from SM-G950F using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom