Enlightenment
JF-Expert Member
- Apr 19, 2018
- 1,321
- 3,307
Toka kipindi cha Unai Emery nilitahadhalisha humu kuwa wachezaji wengi tulionao ni below average, hawana hadhi ya kuchezea Arsenal. Niliishia kushambuliwa, wengi wakadai wachezaji wapo kwenye mgomo wa kocha.
Kocha amebadilishwa na matokeo bado yapo vile vile bado watu humu wana matumaini hewa na kutoa utetezi usio na maana yoyote.
Wameshindwa kuelewa kuwa tatizo tunaloliona sasa limeanza zaidi ya miaka 10 iliyopita haya ni matokeo tu. Requirement mwishoni mwa enzi za Wenger ilikua kichekesho, hatukupata wachezaji wa maana, waliokua na afadhali waliuzwa na hata academy yetu haikutoa wachezaji wazuri.
Kutoka hapa tulipo tunahitaji mabadiliko makubwa hasa kwenye sera ya usajili. Tupate wachezaji wenye uwezo watakao unda timu ya ushindani, hii si chini ya miaka 3. Hivyo ndugu zangu Gunners tusitegemee makubwa kwa sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kocha amebadilishwa na matokeo bado yapo vile vile bado watu humu wana matumaini hewa na kutoa utetezi usio na maana yoyote.
Wameshindwa kuelewa kuwa tatizo tunaloliona sasa limeanza zaidi ya miaka 10 iliyopita haya ni matokeo tu. Requirement mwishoni mwa enzi za Wenger ilikua kichekesho, hatukupata wachezaji wa maana, waliokua na afadhali waliuzwa na hata academy yetu haikutoa wachezaji wazuri.
Kutoka hapa tulipo tunahitaji mabadiliko makubwa hasa kwenye sera ya usajili. Tupate wachezaji wenye uwezo watakao unda timu ya ushindani, hii si chini ya miaka 3. Hivyo ndugu zangu Gunners tusitegemee makubwa kwa sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
