Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Umesema kweli inayokuweka huru. Kazi walikuwa wanamlaumu kocha, eti tuna wachezaji wazuri. Hao wachezaji ni Kina nani? Beki nzima hamna kitu. Hapo kati pia tia maji tia maji mbali na Torreira. Yani wachezaji kina Maitiland, Willock, Bukayo, Pepe (apandaye na kushuka), Gunduzi ndo wakupambanie uwe top four? Laca naye ndo yuleeeee,

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuambiana ukweli inasaidia sana kuliko kuambiana ujinga ambao hautupi Msaada wowote wakati tunafanana na NORWICH na ASTON VILLA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
255767892359_status_a57f73e297b64bac9b3d144485aec11a.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu next game unaionaje dhidi ya Manchester United?Mimi nasema tukipona tutafungwa 2 au 3 sababu Manchester United watakaa nyuma na kufanya counter attack Mwaka huu mpaka bodi akili zitarudi na kukaa sawa Manina kabisa kama Arteta hii mechi kaishindwa ya Man u asijisumbie tutakula kipigo takatifu hvyo tujiandae kwa kipigo na kuwa nafasi ya 15

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha sawa mkuu.... Ngoja tuone
 
Kuambiana ukweli inasaidia sana kuliko kuambiana ujinga ambao hautupi Msaada wowote wakati tunafanana na NORWICH na ASTON VILLA

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu humu watu hawataki kuambiwa ukweli, mara kibao nimesema timu yetu jinsi ilivyo mbovu ila watu wanajipa matumaini hewa. Tusubiri hadi tushuke daraja ndio akili zitawakaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
KUANZIA LEO HUMU KWENYE GROUP MAMBO YA OHH ARTETA KOCHA MZURI MARA OOH WACHEZAJI WAMEIMPROVE KWENYE MAZOEZI MARA OHH WACHEZAJI WANA ENERGY BAADA YA ARTETA MARA TUMEFUNGWA ILA TUMECHEZA VIZURI TUTAAMKA HAYO YOTE NI PUMBA PUMBA TUAMBIANE UKWELI AMBAO KAMA HAMTATAKA KUYASKIA ILA BORA TUAMBIANE KAMA J5 TUTAKULA KIPIGO NEXT CRYSTAL PALACE NA MNAPAJUA PALE PALIVYO PAGUMU KWA KIKOSI CHA NELSON (MTOTO WA KOCHA)NA WILLOCK HUYU TUTAKULA TENA KIPIGO KWA SASA TUJAIDILI TIMU JE TUTAFANIKIWA KUBAKI LIGI KUU MSIMU WA 2020?HILI NDIO LINA UMUHIMU KULIKO MENGINE YOTE YA KUPEANA MOYO TU HUMU

Sent using Jamii Forums mobile app
Duh!!
 
Bodi inachukua kina Guendouzi Willock Nelson Smith Saka hao wote eti wanaingia first eleven si kituko cha dunia halafu bado tunajipa moyo kuwa top 4 hivi sisi mashabiki wa Arsenal tuna akili timamu kweli?kweli?naona saa nyingine tunapataga ukichaa wa akili
Katika madogo wote ni Martineli peke yake ndo anaweza akapata namba hata timu kubwa kwa sasa naanza kujitoa kwenye akili ya ukichaa nakuwa timamu zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mbona povu jingi kama hii timu ndio kwanza umeanza kuipenda jana????
Sifa ya shabiki ni uvumilivu.

STAMALA .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
KUANZIA LEO HUMU KWENYE GROUP MAMBO YA OHH ARTETA KOCHA MZURI MARA OOH WACHEZAJI WAMEIMPROVE KWENYE MAZOEZI MARA OHH WACHEZAJI WANA ENERGY BAADA YA ARTETA MARA TUMEFUNGWA ILA TUMECHEZA VIZURI TUTAAMKA HAYO YOTE NI PUMBA PUMBA TUAMBIANE UKWELI AMBAO KAMA HAMTATAKA KUYASKIA ILA BORA TUAMBIANE KAMA J5 TUTAKULA KIPIGO NEXT CRYSTAL PALACE NA MNAPAJUA PALE PALIVYO PAGUMU KWA KIKOSI CHA NELSON (MTOTO WA KOCHA)NA WILLOCK HUYU TUTAKULA TENA KIPIGO KWA SASA TUJAIDILI TIMU JE TUTAFANIKIWA KUBAKI LIGI KUU MSIMU WA 2020?HILI NDIO LINA UMUHIMU KULIKO MENGINE YOTE YA KUPEANA MOYO TU HUMU

Sent using Jamii Forums mobile app
Uhuru wa kuongea mkuu,usiwafungie watu katika box la fikra kwa kile unachofikiria wewe basi na mwingine afikirie hikohiko ....NO.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"I don't care how well Arsenal played today. I don't care about better passes, higher possession and signs of improvement. My biggest concern is why was Mikel Arteta not wearing a suit for his first game in charge. You've got to ask whether he's even serious about his job." View attachment 1304901


Sent from SM-G950F using Jamii Forums mobile app
Achana na huyu Manure, yeye na mwenake Garry Neville hawana lolote, walipewa ukocha wakachemka kuliko, wivu tu...
 
Uhuru wa kuongea mkuu,usiwafungie watu katika box la fikra kwa kile unachofikiria wewe basi na mwingine afikirie hikohiko ....NO.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi naongea ukweli wewe unaweka ushabiki hapo ndo tatizo ila Mimi nachosema kama upo tayari kushabikia Arsenal vs Blackpool next season sawa ila kwa shabiki kama Mimi sitaweza lazima viongozi waje na wazo mbadala ambalo hata sisi tunaweza tusiwe tunalifikiria sababu 6 matches (3 matches home 3 loss)na (3 matches away 3 draws)ni dalili ya kushuka daraja ndo maana tunaongea live bila chenga na hata kama hawatuskii tutaenda kwenye pages zao kuwaambia ukweli nani aanze kuangalia game za championship humu mara Arsenal vs QPR mara Arsenal vs Charlton halafu unajua Mashabiki wanaamini eti Arsenal haiwez shuka Daraja ni kujipa moyo wa kijinga Mpira sio siasa ni akili na technique basi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom