Will Jr
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 5,077
- 7,420
Wazee kilichoniuma leo,hawa leo walikuwa washakubali, tulikuwa tunawala hata 3 mapema sana ila ndio hivyo ukiwa mzembe lazima uazibiwe,Hakuna haja ya kumlaumu kocha
Wakulaumiwa ni Willock tu,sijui lini atakuwa na hadhi ya kuvaa ile jezi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakulaumiwa ni Willock tu,sijui lini atakuwa na hadhi ya kuvaa ile jezi.
Sent using Jamii Forums mobile app



