The Professor
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 2,223
- 4,580
Hata mimi naona Ozil ameshakuwa mzigo,ila kuna wachezaji kama David Luiz anafanya kazi nzuri sana nyuma,pia kunahitajika marekebisho makubwa kwenye beki na midfielder wakifanikiwa hilo Arsenal iko vizuri...Ozil ni kama mgonjwa wa homa ya vipindi naye hatakiwi kuwepo Arsenal kama tunahitaji timu Kali Ozil ni mmoja wa wachezaji wa kuchapa lapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuu maisha tu haya.... Siku itawadiaNisingefungwa na arsenal hii mimi. Na kama yule mhindi wenu angekuwa bado yupo leo ningewatia hata goal 4
Sent using Jamii Forums mobile app
Leicester nayo ni timu, wewe naye kumbe zigo la mavi tu.Ngoja Arsenal wamtake uone kama atakataa.Yaani ndidi aachane na Leicester ambao wako moto wanasubiri walau liver ajikwae matches kadhaa. aje arsenal ambayo inataka kushuka daraja? Hayo yatakuwa ni matope aisee
Sent using Jamii Forums mobile app
Shukrani kwa Laca ndie sababu refa kagoma kumpa Jorgihno second yellow anamfundiaha kazi
Acha aongee huyo mama, nadhani hawa ni mamluki waliyohama Arsenal, kwa hiyo anaandika kujustify maamuzi yake.Sawa mkuu maisha tu haya.... Siku itawadia





Yaani ww ni takataka..... Hamna mchezaji mwenye focus ya msimu mmoja..Yaani ndidi aachane na Leicester ambao wako moto wanasubiri walau liver ajikwae matches kadhaa. aje arsenal ambayo inataka kushuka daraja? Hayo yatakuwa ni matope aisee
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu next game unaionaje dhidi ya Manchester United?Mimi nasema tukipona tutafungwa 2 au 3 sababu Manchester United watakaa nyuma na kufanya counter attack Mwaka huu mpaka bodi akili zitarudi na kukaa sawa Manina kabisa kama Arteta hii mechi kaishindwa ya Man u asijisumbie tutakula kipigo takatifu hvyo tujiandae kwa kipigo na kuwa nafasi ya 15Yaani ww ni takataka..... Hamna mchezaji mwenye focus ya msimu mmoja..
Chama letu hili hatulikachi
Mkuu tumetoka mbali na hii timu
Ila hatujawahi kuwa kwenye nafasi ya kushuka daraja kama sasa hiviMkuu tumetoka mbali na hii timu
Tushapigwa nane
Tushapigwa sita
Tushapigwa mnoo ila hapa hatukimbii
Kinachotokea ni kwamba utaacha kufatilia kwa mda flani tu ila mkianza tena kushinda lazima urudi
Mkuu kitu Cha Kwanza Cha muhimu ni uhai tuKUANZIA LEO HUMU KWENYE GROUP MAMBO YA OHH ARTETA KOCHA MZURI MARA OOH WACHEZAJI WAMEIMPROVE KWENYE MAZOEZI MARA OHH WACHEZAJI WANA ENERGY BAADA YA ARTETA MARA TUMEFUNGWA ILA TUMECHEZA VIZURI TUTAAMKA HAYO YOTE NI PUMBA PUMBA TUAMBIANE UKWELI AMBAO KAMA HAMTATAKA KUYASKIA ILA BORA TUAMBIANE KAMA J5 TUTAKULA KIPIGO NEXT CRYSTAL PALACE NA MNAPAJUA PALE PALIVYO PAGUMU KWA KIKOSI CHA NELSON (MTOTO WA KOCHA)NA WILLOCK HUYU TUTAKULA TENA KIPIGO KWA SASA TUJAIDILI TIMU JE TUTAFANIKIWA KUBAKI LIGI KUU MSIMU WA 2020?HILI NDIO LINA UMUHIMU KULIKO MENGINE YOTE YA KUPEANA MOYO TU HUMU
Sent using Jamii Forums mobile app
Daraja hatuwez shuka ngoja kama iyo jumatano tutapigwa tena nadhani pesa itatoka tu ya kusajiliIla hatujawahi kuwa kwenye nafasi ya kushuka daraja kama sasa hivi
Sent using Jamii Forums mobile app
Bodi inachukua kina Guendouzi Willock Nelson Smith Saka hao wote eti wanaingia first eleven si kituko cha dunia halafu bado tunajipa moyo kuwa top 4 hivi sisi mashabiki wa Arsenal tuna akili timamu kweli?kweli?naona saa nyingine tunapataga ukichaa wa akiliDaraja hatuwez shuka ngoja kama iyo jumatano tutapigwa tena nadhani pesa itatoka tu ya kusajili


Umesema kweli inayokuweka huru. Kazi walikuwa wanamlaumu kocha, eti tuna wachezaji wazuri. Hao wachezaji ni Kina nani? Beki nzima hamna kitu. Hapo kati pia tia maji tia maji mbali na Torreira. Yani wachezaji kina Maitiland, Willock, Bukayo, Pepe (apandaye na kushuka), Gunduzi ndo wakupambanie uwe top four? Laca naye ndo yuleeeee,Bodi inachukua kina Guendouzi Willock Nelson Smith Saka hao wote eti wanaingia first eleven si kituko cha dunia halafu bado tunajipa moyo kuwa top 4 hivi sisi mashabiki wa Arsenal tuna akili timamu kweli?kweli?naona saa nyingine tunapataga ukichaa wa akili
Katika madogo wote ni Martineli peke yake ndo anaweza akapata namba hata timu kubwa kwa sasa naanza kujitoa kwenye akili ya ukichaa nakuwa timamu zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app