Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,384
Mourinho alilipwa £19.6m
Naona mumefanywa vizurLeo kocha kajitahidi kupanga kikosi, naamini tutafanya vizuri.
Wenger kakaa miaka 23 na makombe matatu na mlishindwa kumtoa, hamna uwezo wa kumtoa huyu. Kumtoa kocha inahitaji hela ndefu mazee..mtapata tabu sanaaaaaa.
Ni lini mashabiki wa asernal wakawa na influence ya kumfukuzisha kocha ? Ilo sahau endeleeni kuisuport timu haya ni mapito tuu
Nasema washika manati wa london a.k.a asenane a.k.a ze ga naziunasemaaaaaaa

Naona unakuja kujifariji na draw ya Arsenal,ili ujisahaulishe kufungwa kwako.Nasema washika manati wa london a.k.a asenane a.k.a ze ga nazi![]()
octaJaman namkubali sana unai mm asiondoke ni mtu muhimu sana ktk timu yetu.......
Kuna mtu alini quote ndo nikaja kumjibu ila sio mbaya mkuu barca kala tatu, bayern munich kala 5 mimi ni nani mpaka nisifungweNaona unakuja kujifariji na draw ya Arsenal,ili ujisahaulishe kufungwa kwako.
Breaking News: Arsenal kumfukuza kazi Unai Emery ikishindwa kuifunga Leicester jumamosi ijayo.
Jose Mourinho huenda akateuliwa kocha mpya.
Vikao vimekuwa vikifanywa kimyakimya.
Hiyo ni baada ya kupoteza tena point mbili leo kwa Wolverhampton
Mengine nitarejea baadae..
Mnajua kujifariji nyie. Barca anaongoza ligi, Bayern yupo top 5. Nyie mko wapi?Kuna mtu alini quote ndo nikaja kumjibu ila sio mbaya mkuu barca kala tatu, bayern munich kala 5 mimi ni nani mpaka nisifungwe
Huyu ni Kepa. Hivi siku hizi hamumuoni au?Nyumbu kafa ngapi mkuu????
Breaking News: Arsenal kumfukuza kazi Unai Emery ikishindwa kuifunga Leicester jumamosi ijayo.
Jose Mourinho huenda akateuliwa kocha mpya.
Vikao vimekuwa vikifanywa kimyakimya.
Hiyo ni baada ya kupoteza tena point mbili leo kwa Wolverhampton
Mengine nitarejea baadae..



Siku hiyo ntakuwa shabiki wa leicester city, kibanda umiza mapema sana 





Awanaga uwezo uo ..Wenger aliondoka mwenyewe..Ni lini mashabiki wa asernal wakawa na influence ya kumfukuzisha kocha ? Ilo sahau endeleeni kuisuport timu haya ni mapito tuu


Kila la kheri Leicester ..japo mimi nitakuwa Arsenal...tunataka nafasi ya tatu pale..Breaking News: Arsenal kumfukuza kazi Unai Emery ikishindwa kuifunga Leicester jumamosi ijayo.
Jose Mourinho huenda akateuliwa kocha mpya.
Vikao vimekuwa vikifanywa kimyakimya.
Hiyo ni baada ya kupoteza tena point mbili leo kwa Wolverhampton
Mengine nitarejea baadae..