Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ni lini mashabiki wa asernal wakawa na influence ya kumfukuzisha kocha ? Ilo sahau endeleeni kuisuport timu haya ni mapito tuu
 
Screenshot_2019-11-02-23-37-58.png
 
Breaking News: Arsenal kumfukuza kazi Unai Emery ikishindwa kuifunga Leicester jumamosi ijayo.

Jose Mourinho huenda akateuliwa kocha mpya.

Vikao vimekuwa vikifanywa kimyakimya.

Ikishindikana kumpata Mourinho Arsenal itaivamia Wolverhampton Wanderers kumkwapua meneja wao Dr Nuno Santos ambae ana shahada ya udaktari wa falsafa katika michezo.


Hiyo ni baada ya kupoteza tena point mbili leo kwa Wolverhampton

Mengine nitarejea baadae..
 
Kwa kumfunga Leicester hapo kashafukuzwa tayari.
Breaking News: Arsenal kumfukuza kazi Unai Emery ikishindwa kuifunga Leicester jumamosi ijayo.

Jose Mourinho huenda akateuliwa kocha mpya.

Vikao vimekuwa vikifanywa kimyakimya.


Hiyo ni baada ya kupoteza tena point mbili leo kwa Wolverhampton

Mengine nitarejea baadae..
 
Breaking News: Arsenal kumfukuza kazi Unai Emery ikishindwa kuifunga Leicester jumamosi ijayo.

Jose Mourinho huenda akateuliwa kocha mpya.

Vikao vimekuwa vikifanywa kimyakimya.


Hiyo ni baada ya kupoteza tena point mbili leo kwa Wolverhampton

Mengine nitarejea baadae..
Siku hiyo ntakuwa shabiki wa leicester city, kibanda umiza mapema sana
 
Breaking News: Arsenal kumfukuza kazi Unai Emery ikishindwa kuifunga Leicester jumamosi ijayo.

Jose Mourinho huenda akateuliwa kocha mpya.

Vikao vimekuwa vikifanywa kimyakimya.


Hiyo ni baada ya kupoteza tena point mbili leo kwa Wolverhampton

Mengine nitarejea baadae..
Kila la kheri Leicester ..japo mimi nitakuwa Arsenal...tunataka nafasi ya tatu pale..
 
Back
Top Bottom