Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Naona giza kwenye hii mechi tumuombe Mungu mpaka sasa Arsenal 0 Wolves 6 attempts ngoja tusubiri 90 minutes
 
Nakwambia ukweli kuna kombe la kutolea macho kama epl na fa cup kwa england umewahi kusikia unaulizwa mmebeba carabao ngapi?
Kombe la kutolea macho EPL 😂 😆 😂 😂 😂 wewe nilikwambia timu yako kushinda game 3 mfululizo huwezi (Draw,Win,Loose).Haya kipo wapi mnakuja kutupigia kelele,mnasahau timu yenu kama saa mbovu,leo imepoteza majira.
 
Kombe la kutolea macho EPL wewe nilikwambia timu yako kushinda game 3 mfululizo huwezi (Draw,Win,Loose).Haya kipo wapi mnakuja kutupigia kelele,mnasahau timu yenu kama saa mbovu,leo imepoteza majira.
Hahahahahahaha hahaha Mara unazima gafla mpka uipige pige
 
Arsenal tunashida kubwa Sana tukiwa hatuna mpira yani timu zinatufikia kirahisi Sana. Hili nitatizo Sana bila kulifanyia kazi litatumaliza
 
Ngoja tuendelee kupata haya matokeo naapa Mimi Mungu yupo game ya Leicester city hatutashinda hatutashinda kama kocha atakuwa ni Unai naapa hatutashinda
 
Back
Top Bottom