Jamani hamjasikia tetesi tetesi za Unai kufukuzwa huko kwenye ma social media ya Ulaya?.. Yaani huyu kocha siku akifukuzwa nitaandaa sherehe ili kusherehekea mwisho wa karaha na mateso anayotupa. Yaani tuna kocha mkuda sijapata ona, yaani sijui kwa nini hapendi torreila axheze kwenye position yake ya DM!.. Always anamchezesha out of position na anamtoa dk za 70+, na kila akimtoa baada ya dk 10 tunakuwa yumeshafungwa,, sasa cjui kwa nini huyu jamaa hajifunzi. Bodi ya Arsenal inatakiwa wafanye maamuzi magumu mapema, wakiendelea kumvumilia huyu mpuuzi tutajikuta tupo nafasi ya 10+ siku chache zijazo!.