21 February
JF-Expert Member
- May 19, 2017
- 3,299
- 2,843
Arsenal nilisema kwenye hizi game zenu mbili Wolves na Leicester mtaambulia point moja tu, ndiyo hii mmeipata leo, next game na Leicester mnakufa








Ukweli mchungu ndugu, tunafungwa magoli mepesi sana. Pia mbinu za kocha kwenye kujilinda ni mbovu.Arsenal nilisema kwenye hizi game zenu mbili Wolves na Leicester mtaambulia point moja tu, ndiyo hii mmeipata leo, next game na Leicester mnakufa





!!!!!












Leo Torreira alikuwa anacheza juu kuliko kukaba. Sijui Unai anacheza mfumo gani? Timu hata haieleweki, daah so sad.Unaongoza moja, unatakiwa kulinda goli unatoa defensive mid torreira unaingiza winga Saka, wamesawazisha unatakiwa kupambana upate goļi Unatoa Tïrney unaingiza Kola, hapo kuna tactical change gani na hajaumia mtu?
Kocha hafai.
torreira hakucheza kama defensive mid...Unaongoza moja, unatakiwa kulinda goli unatoa defensive mid torreira unaingiza winga Saka, wamesawazisha unatakiwa kupambana upate goļi Unatoa Tïrney unaingiza Kola, hapo kuna tactical change gani na hajaumia mtu?
Kocha hafai.
Ila ní defensive mid, kama kocha si angemwambia sasa rudi nyuma tunalinda. Simpo.torreira hakucheza kama defensive mid...
Yeye akamtoa. Kocha tumepigwa.Ila ní defensive mid, kama kocha si angemwambia sasa rudi nyuma tunalinda. Simpo.
Hakuna kitu kama icho, David oinstein alishakanusha hizo tetesi, unai ana mkataba wa miaka mitatu.Kumbe Unai mkataba wake unaisha mwishoni mwa msimu huu,itapendeza asipoongezwaView attachment 1252256