radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,290
Ulikujaga kushupaza shingo kule kabla hatujacheza na liverpool watupige goli 6 nikakuuliza umefurahia arsenal kuwa wa 5 jumatatu ukapigwa ka dude ukaingia mitini saiv unauliza gape wakat mwenzio nnamabadiliko ila wewe uko palepale umestak cumputer imegoma kusoma endelea kuuliza gap unataona tu siku za baadaeMind the gape....in mou voice

