Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Liver wana huruma mimi hii mechi sikutaka ifike penalty,wangemaliza dk 90 ,kwani mpaka sasa UNAI ana cha kujitetea.

Ozil jana kamuumbua naona akaona amtoe benchi na mwenzake Toreira.Hapo ndipo unapokuja kugundua kocha wetu anapenda kufungwa,cha msingi atuachie timu yetu akatomasane na mke wake.
Kocha mwenye udhaifu ambao hata asiyejua soka anauona .
 
granit xhaka kaomba msamaha kwa mashabiki wa arsenal kwa kitendo alichokifanya....dah sijajua kama next match dhidi ya wolves atapangwa position emery anayopenda kumchezesha?
20191031_232418.jpeg
 
Nakumbuka tulipomsajili beki kisiki Maguire kuna wapiga tarumbeta na wachekeshaji wa mfalme humu walianza kumfananisha na kituko Mustafi. Kweli kuna watu wana laana.😂
 
Back
Top Bottom