Unakumbuka ile ya Newcastle mwaka 2014 mliongoza 4-0 mpaka HT, Matokeo ya mwisho ikawa 4-4.Arsenal yangu siiamini hata tukitangulia goli 4 dhidi ya mpinzani inabidi usubiri dk 90 kuhakikisha matokeo yaani imekuwa timu dhaifu mno mno mno
Hapa hatuna kocha, huyu kazidiwa hadi na Marehemu Jack ChamangwanaArsenal yangu siiamini hata tukitangulia goli 4 dhidi ya mpinzani inabidi usubiri dk 90 kuhakikisha matokeo yaani imekuwa timu dhaifu mno mno mno
Mkuu kuwa na lugha ya staha, hakuna mjinga humu.Nyie majinga na leo mmetolewa ?
yan nyie ni makelele tu week nzima kwenye jukwaa hili kisa kumfunga chelsea utafauti wa goli 1, harafu carabao....shenzi subiria vibonde vyenzako liver na leicester.....
Tafadhali mzee. Liver kibonde kwa nani tena?yan nyie ni makelele tu week nzima kwenye jukwaa hili kisa kumfunga chelsea utafauti wa goli 1, harafu carabao....shenzi subiria vibonde vyenzako liver na leicester.....
Uhali gani mkuuNimeamini mashabiki wa man u ni wepesi kujisahau. Juzi umemfunga chelsea 4 kwako sawa. Je chelsea hajakufunga 4 juzi juzi hapa? Subiri kesho kutwa. Uje na hizo adithi zako za 4 kama hutojipiga ban hapa.
sunderlandTafadhali mzee. Liver kibonde kwa nani tena?
Mnacheza vizuri Europa na Carabao !!!! Unachekesha... Hii Carabao huwa Van Djke, Mane, Wiljneidam, Arnold, Salah, Firminho, Robertson et al.... huwa hawachezagi, kwa hiyo usijione umecheza vizuri. UMECHEZA NA LIVERPOOL B.I always say Arsenal tunacheza vizuri Europa na Carabao. Na ndiyo kimetokea leo, tumecheza poa even when waliposawazisha bado spirit ilikua juu.
Wachezaji wetu wameonyesha uwezo wao kwa kadri walivyoaminiwa isipokua bahati haikua upande wetu.
Subs za hovyo zimefanywa kweli ila mimi kama shabiki sina cha kufanya. Ozil hakutakiwa kutoka wala Torreira. Angetoka Saka na Willock as Willock alishaonyesha kuchoka.
Tierney amecheleweshwa kuingia, tho yaweza kua ni dalili nzuri kwamba sasa ataendelea kuonekana EPL akianzia first XI.
Am mad just like the rest of y'all but cheer up it's just football. Na safari inaendelea.
THIS IS ARSENAL
Cha arsenal ni kikosi gani A au B?Mnacheza vizuri Europa na Carabao !!!! Unachekesha... Hii Carabao huwa Van Djke, Mane, Wiljneidam, Arnold, Salah, Firminho, Robertson et al.... huwa hawachezagi, kwa hiyo usijione umecheza vizuri. UMECHEZA NA LIVERPOOL B.



washika manati wa london hoiiI always say Arsenal tunacheza vizuri Europa na Carabao. Na ndiyo kimetokea leo, tumecheza poa even when waliposawazisha bado spirit ilikua juu.
Wachezaji wetu wameonyesha uwezo wao kwa kadri walivyoaminiwa isipokua bahati haikua upande wetu.
Subs za hovyo zimefanywa kweli ila mimi kama shabiki sina cha kufanya. Ozil hakutakiwa kutoka wala Torreira. Angetoka Saka na Willock as Willock alishaonyesha kuchoka.
Tierney amecheleweshwa kuingia, tho yaweza kua ni dalili nzuri kwamba sasa ataendelea kuonekana EPL akianzia first XI.
Am mad just like the rest of y'all but cheer up it's just football. Na safari inaendelea.
THIS IS ARSENAL
Hastahili hata kidogo nasema ukweli Mustafi auzwe, without ball ni ujinga tupu, Tunasindikiza tu.Nimegundua kwanini hata tukiongoza goli kumi zinaweza kurudi zote.Inaonyesha Unai ana ego na hataki kuonekana kama anafanya maamuzi kwa shinikizo la nje. Ozil na Torreira inaonyesha hawataki kikosini, ila amewapanga kuturidhisha tu. All in all game ilikua nzuri
Ila serious kama tuna kocha wa mabeki nafikiri ajiuzulu tu. Pale nyuma wanakaba kwa macho. Mustafi sidhani kama anastahili second chance.




Uhali gani mkuu