Wenger ashindwa kuelewa kipigo!
Meneja Arsène Wenger amesema kuwa hawezi kuelewa kushindwa dhidi ya wapinzani wa jadi Tottenham Hotspur.
Licha ya kuongoza 2-0 katika nusu ya kwanza, kwa hisani ya Samir Nasri na Marouane Chamakh, kule kurudi kipindi cha pili kwa kasi ya kushtua kutoka kwa Spurs, ambapo walifunga mabao matatu, ilimaanisha kwamba Arsenal imeshindwa tena kuvuna faida kwenye msimamo wa ligi.
Wenger alisema: "Hatukuweza kudumisha umakini wala kuonyesha kasi kwa muda wa dakika 90 kwa sababu baadhi ya wachezaji walikata tamaa"
"Naamini pia kwamba kwa jumla tulicheza kwa kiwango kinachohitajika "kwa ubora" katika mechi kama hii,na kama utaangalia stats na mahesabu ni vigumu kufahamu kwa nini tumeipoteza hii mechi"
"Kupoteza Concentration, baadhi ya makosa ya msingi na bahati mbaya pia, kwa vile kwa kuanzia tu nadhani ile adhabu kabla ya penalti haikuwa sahihi"
"Na juu ya hayo, si tu kwamba sisi ndio tulishinda adhabu lakini badala yake ndio tulipatikana na hatia na kupigiwa penalti"
"Lakini kwa ujumla unapigwa na butwaa kidogo, ukianza kuuchambua tena mchezo, ni kitendawili vipi tumepoteza mchezo kama huo?"
"[Tuliidhibiti hii mechi] hata kipindi cha pili pia - Ilikuwa adhabu tushinde upande wetu -lakini matokeo yake goli kwao. Si Unajua?"
"Walitubamba na counter-attack tukiwa tunaongoza 2-0. Na baada ya kuadhibiwa kwa goli la pili Kama ukiangalia nafasi za wazi walizopata Tottenham leo, ni rahisi kutambua jinsi vile tumefungwa yale mabao matatu"
"Ni moja ya zile mechi ambazo tuna-dominate mwisho wa siku sisi ndio tunapoteza, wa kujiangalia ni sisi wenyewe"
"Naamini kwamba tulijiandaa na hii mechi na Kama tungeanza na hii mechi vibaya nisingeshindwa kusema"
"Nahisi baadhi ya wachezaji ambao walicheza katikati ya wiki - Jumapili, Jumatano na leo - hawakuweza kumudu kasi ya mchezo na tuliishiwa nguvu na kulikuwa na baadhi ya miguu mizito katika nusu ya pili"
"Nilifikiri kipindi cha pili (Spurs) walikuwa wazi zaidi na tulimudu kupata nafasi ya kucheza zaidi na kutengeneza nafasi, lakini nahisi kwa mfano Chamakh alipata nafasi safi lakini badala yake alirudi nyuma kwa sababu miguu yake ilikuwa michovu"
"(Chamakh) alicheza dakika 70 au 80 Jumatano usiku. Bila shaka,baada ya kurudi wanakuja wamekufa kabisa, pamoja na hayo bado kipindi cha pili tulikuwa na fursa ya kuua huu mchezo"
Manager Arsène Wenger has said that he can't comprehend today's defeat against local rivals Tottenham Hotspur.
Despite leading 2-0 in the first half, courtesy of goals from Samir Nasri and Marouane Chamakh, a shocking comeback from Spurs, scoring three goals, meant that Arsenal have again failed to capitalise on their league position.
Wenger said: "We could not maintain the focus nor the urgency for 90 minutes because some players dropped.
"I believe as well that overall we delivered a performance expected in a game like that quality wise and if you look at the stats and the numbers it's very difficult to understand how we lost this game.
"A drop of concentration, some basic errors, some bad luck as well because the penalty spot I think was no foul for them at the start.
"And on top of that, not only did we get the foul but we get the penalty where we are guilty of.
"But overall you are a bit speechless. To re-analyze the game, it's a mystery how we can lose a game like that.
"[We were in control] in the second as well. It was a free kick for us goal for them. You know?
"We were caught on counterattack at 2-0 up. And after we were punished on the second goal. If you look at the clear-cut chances that Tottenham had today, it's easy to see how we conceded three goals.
"It's one of those games where we dominated them more than any other one but we lost it and we can only look at ourselves.
"I believe that we have focused on the game. If we had not started the game well I would say that.
"I felt some players who played mid-week who played Sunday, Wednesday, today could not maintain the pace in the game and that we dropped physically and we had some heavy legs in the second half.
"I felt that they were more open in the second half and we had more room to play and to create chances, but I felt for example that Chamakh in the second half was clean through and came back because he had no legs.
"He played 70 or 80 minutes on Wednesday night. Of course after they come back and they are dead. But we had the opportunities, even in the second half to kill this game off."
Source: Arsenal Mania - News - Wenger can't understand defeat