Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,209
so far hatuna creativity yoyote japo kuwa jamaa wanatupa uhuru sema hatuko makini.
Naona chelsea kashapigwa kimoja tayari.
BTW Eboue yupo kumbe?...Lol!, i missed hm.
Wenger afanye changes mapema sana kama anataka kushinda.Nasri aje naona mbele hakuna mtu wa kuweza kuhold mpira kabisa.
afadhaliNaona chelsea kashapigwa kimoja tayari.
Kumbe point moja leo inatuhakikishia kuwa kwenye last 16. regarless ya matokeo mengine. Ndio maana Wenger kamuweka Benadeta.
mshapita, mnacheza kukamilisha ratiba na nadhai approach ya Wenger ni "kuavoid majeruhi"
Nilikuwa sijui hapa kumbe mmetie nao point, na jamaa wanaongoza sasa hivi.ni muhimu sana kumaliza wa kwanza kundi letu timu zina tisha uko mbele na timu yetu hii safari ndefu sana.
wakina eduardo wana nafasi kubwa ya kumaliza wa kwanza kama hatutashinda mechi hii.
Nilikuwa sijui hapa kumbe mmetie nao point, na jamaa wanaongoza sasa hivi.