Kuna watu eti wanasema Wenger is better than Sir Alex Ferguson
Crowd silenced..bwe he he he
Sawa ndio mchezo, asiekubali kushindwa sio mshindaniWhat a come back!!!! Arsenal mmeumia ngoma ya kitoto haikeshi
Sisi hatuna matusi mkuu, yetu tumemaliza tuna-focus mechi inayofuata, kila la kheri kwa WiganSijaona mechi yenu ila bila shaka leo mmetota f2nd half...nasubiri matusi kama kawaida yenu.
Thanks mkuu, nanyi bila Gerard naona ngoma inaweza kuwa nzito kwenupoleni watani
kuna jamaa anaitwa kiherehere... nadhani ndio kawatia gundu
Bado sio mizito, msimamo unasema bado tupo juu ya UTD kwa pointi mpaka sasa, ligi ni ndefu na bado kutakuwa na twist and turn kwa kila timu.Midomo ishakuwa mizito
Yaani leo ndio umeonekana? usiwe ivo mkuu na siku tukishinda upite kutupa hongera vilevileOoh ooh ooh Shedafa ametoka mafichoni. Yaani msimu mzima wa ligi leo nimefurahi ile mbaya. Du, hivi kweli ndio tumemchapa mtu!
Crowd silenced..bwe he he he