Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,821
Waaaapi Mbu.....wapi AW.......wapi Blntd?....wapi genaika?
Bala is always here.....Ligi ya mwaka huu ni tamu na chungu babu....Fikiria leo tena tumechapwa Imarati..Uzuri ni kwamba wale wakubwa wanne hatuchekani mwaka huu,wote twachezea vichapo na sare mingiii..........Ngoja tuone wakubwa wengine(Man U na Chelsick) wanafanyeje leo