Mtazamaji
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 5,937
- 1,444
ni muhimu sana kumaliza wa kwanza kundi letu timu zina tisha uko mbele na timu yetu hii safari ndefu sana.
wakina eduardo wana nafasi kubwa ya kumaliza wa kwanza kama hatutashinda mechi hii.
Hivi hao officials wanaoongzwa wanasaidia nini hiyo si penati kabisa tumenyimwa na mtu anapewa kadi.