Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 15,927
- 27,167
Baba ni nina hasira hapa. Maana ndugu Pepe kakosa goli yeye na kipa akaja andazi mwingine badala ya kuscore eti akajidondosha yaani kama vile Tammy na Rashford wameloga forward yote icheze kama wao.
Hizi hasira zinaenda kumaliziwa kichochoroni. Hawa Man U na Chelsea nitakutana nao kesho nikiwa mwepesiiiiiii.




mkuu huyo malaya alitoka salama usiku?