Oyaaa majomba mwera hao
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 290
- 424
Kichwa cha mwendawazimu cha London.
Kituo kinachofuata CRYSTAL PALACE
#mwakawatabu
Kituo kinachofuata CRYSTAL PALACE
#mwakawatabu


Pile mkuu..Hahahaha siyo malaya ni kasista du fulani hivi. Ila nishakua mwepesi nimerudi.
Waombolezaji kutoka Anfield na Stamford bridge mbona mnakosa utulivu,chai ipo ya kutosha na vitafunwa pia msigombanie.
Waombolezaji kutoka OT mnakumbushwa kumpelekea uji mfiwa Aaron Arsenal aliyezimia toka jana,hali yake sio nzuri.



DAAAH!!!Mfiwa wakati huu inabidi utulie mambo mirathi ni baada ya msiba. Mbona unaonyesha sana na mali?*Willock, saka, Nelson, martineli*
Hawa ni makinda ambao kwanza wanahitaji kucheza carabao cup, FA, na Europa. Wapate experience ya kutosha na wajenge stamina. Ata kwenye ligi wawe wanatokea sub kuanzia dakika za 70 hivi hasa husu martineli na saka
Huwa napenda sana kuwaangalia wakicheza huko. Ila unapowaweka hao watoto wakapambane na baba zao EPL ni ujinga kiwango cha mwisho kabisa
Na hii itasababisha fans wawachukie hawa watoto bure.
Barcelona kuna Ansu fati, huyu dogo yupo vizuri sana lakin anasugua bench
Man city yupo foden, ni mzuri kuliko hawa young players wetu lakin anasugua bench.
*Unai sio kocha, tumepigwa hapa*
Mzee haya mambo mtajadiliana kifamilia baada ya waombolezaji kupungua na kuondoka kabisa. Msimwage mchele kwenye kuku wengi mnajiabisha mbele ya waombolezajiJANA KIMEFANYIKA KIKAO , UNAI KAITWA MBELE YA EDU NA RAUL BAADA YA MECHI
source : JAMES BENGE (Arsenal correspondant)
NILISEMA HUMU NA NARUDIA TENA ,
EMERY ATATANGULIA KUONDOKA KABLA YA OZILView attachment 1240698
Siyo now days hii ndio kawaida yenu na haya ndio masha mloyazoea.Emery anasema "Arsenal controlled the game and created a lots of chance but failed to score"
Tulicontrol game, tulitengeneza chances ???? Sijui labda sisi tuliangalia mechi tofauti.
Afu anakera huyu jamaa hakubali kuwa ameshindwa anakwambia "we are working to improve"
Unaimprove nini sasa? Nani ana huo muda wa kukusubiri wewe uimprove, kuimprove nenda kwenu Sevilla huko wakakuvumilie,Mtu umepewa mwaka mzima bado paka leo unajifunza nini???,
mpira unaochezwa haueleweki, kutengeneza chance tatu za wazi kwetu imekua shughuli nowadays.
#Emeryout
Ni bora mimi ningekuwa kocha sio huyo bwege hamna anachojua kunizidiWewe na PATEL nani anajua mpira?
Ulishawahi kuwa hata kocha wa UMITASHUMTA?
KLop alipewa muda na PATEL apewe muda ajenge timu ya hataree.
Tupo nyuma ya Emery tunaamini misimu 5 ijayo timu itakuwa fire






View attachment 1240794
Kweli huyu Evra kawadharau sanaa
Nimezungumzia kutengeneza nafasi, jaribu kuelewa kwanza afu punguza mahabaSiyo now days hii ndio kawaida yenu na haya ndio masha mloyazoea.
Same Arsenal, Same Results, Different Season
Naona umepata tunguvu sasa twa kucoment pole na kipigoHajawai kufungwa na yeye akiwa uwanjani???asilete ufarasi wake hapa......huyu anakuwaga na mambo ya kike sana
Naona umepata tunguvu sasa twa kucoment pole na kipigo
Namimi ndicho nilicho zungumziaNimezungumzia kutengeneza nafasi, jaribu kuelewa kwanza afu punguza mahaba